Uchaguzi 2020 Nape Nnauye: Msinilaumu mimi, Sheria ya kupita bila kupingwa ilikuwepo kabla sijawa Mbunge

Uchaguzi 2020 Nape Nnauye: Msinilaumu mimi, Sheria ya kupita bila kupingwa ilikuwepo kabla sijawa Mbunge

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge mteule wa jimbo la mtama huko Lindi Nape Nnauye amesema asilaumiwe yeye kwa kupitishwa bila kupingwa kwani sheria hiyo imekuwepo kabla yeye hajawa Mbunge.

Zaidi ya hapo ni kuoneana wivu tu, ametweet Nape.

My take: Nape yuko sahihi yeye ni mnufaika wa sheria dhaifu.

Maendeleo hayana vyama!
 
1598865588003.jpeg
 
Hawa kina Robati si kama hawa wanasheria wetu ambao mwisho wao kwa kusimamia kesi ni hapo kisutu. Hawa wanafika hadi ze hegi pia hawa jamaa wana uwezo wa kupeleka malalamiko ya kisheria hata UN, na UN wakafanya action kama kuna ulazima kuishughulikia nchi husika iliyokiuka kwa makusudi mikaaba ya kimataifa.
 
Back
Top Bottom