Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndiye mnamwona yesu wenu vibaraka wa mabeberu?
yesu mpya wa Lugola anatokea ChatoHuyo ndiye mnamwona yesu wenu vibaraka wa mabeberu?
Mnategemea mbeleko ya huyo Amsterdam?Mnajua mlichomwahidi.yesu mpya anatokea Chato
Mbunge mteule wa jimbo la mtama huko Lindi Nape Nnauye amesema asilaumiwe yeye kwa kupitishwa bila kupingwa kwani sheria hiyo imekuwepo kabla yeye hajawa Mbunge.
Zaidi ya hapo ni kuoneana wivu tu, ametweet Nape.
My take: Nape yuko sahihi yeye ni mnufaika wa sheria dhaifu.
Maendeleo hayana vyama!
Mnategemea mbeleko ya huyo Amsterdam?Mnajua mlichomwahidi.
Hatachukua tani mbili za tanzanite na kusepa kama KagameMnategemea mbeleko ya huyo Amsterdam?Mnajua mlichomwahidi.
Hizi ndizo hoja murua mkuu.umejibu vzrHatutegemei chochote kile zaidi ya Uchaguzi huru na wa haki na kura kuhesabiwa hadharani. Kumbuka kwamba siku zote HAKI huinua Taifa.
Atachukua tani 100?Hatachukua tani mbili za tanzanite na kusepa kama Kagame
Kagame alichukua ngapi?Atachukua tani 100?
Kama mlizomwahidi beberu BobKagame alichukua ngapi?
Kuuana watu kulikiwapo kabla Nape hajazaliwa.Mbunge mteule wa jimbo la mtama huko Lindi Nape Nnauye amesema asilaumiwe yeye kwa kupitishwa bila kupingwa kwani sheria hiyo imekuwepo kabla yeye hajawa Mbunge.
Zaidi ya hapo ni kuoneana wivu tu, ametweet Nape.
My take: Nape yuko sahihi yeye ni mnufaika wa sheria dhaifu.
Maendeleo hayana vyama!
Viongozi wako hawajampuuza wanamheshimu sn...... Sasa ww msukule wa lumumba sijui unampuuzajeHuyo beberu wa Lisu mwambieni tumeshampuuza