johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Haki iko mbinguni manka duniani kinachotafutwa ni amani!mnayoyafanya mnaona mnatenda haki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki iko mbinguni manka duniani kinachotafutwa ni amani!mnayoyafanya mnaona mnatenda haki?
Hata Freeman walisema ni mdogo wake Makongoro!Si umeambiwa ni zao la mbio za mwenge bwashee, nadhani ungehoji kama Mwandosya amewahi 'kukimbiza' mwenge maana mnasemaga mwenge 'hauruki' kijiji.
Mwakyembe huyu aliyepeleka nyodo za digrii nne kwa wajumbe? Unajisifu una digrii nne then umeenda 'kuomba ajira' kwa standadi seveni, hopeless kabisa!!Hilo liko chini ya Mwakyembe bwashee!
Mwaka huu tutaifuata haki wote huko mbinguniHaki iko mbinguni manka duniani kinachotafutwa ni amani!
Haihitaji akili nyingi kung'amua hilo, kama Freeman ni mdogo wake Makongoro basi tukubali kuwa Mwalimu 'alipigiwa' maana huwezi kuwa na watoto wawili wenye kutofautiana kwa kila kitu.Hata Freeman walisema ni mdogo wake Makongoro!
Huyo beberu wa Lisu mwambieni tumeshampuuzaMambo yenu maovu?
Freeman na Makongoro wanatofautiana nini?Haihitaji akili nyingi kung'amua hilo, kama Freeman ni mdogo wake Makongoro basi tukubali kuwa Mwalimu 'alipigiwa' maana huwezi kuwa na watoto wawili wenye kutofautiana kwa kila kitu.
Basi jiunge na Gwajima wa Kawe!Mwaka huu tutaifuata haki wote huko mbinguni
Mbunge mteule wa jimbo la mtama huko Lindi Nape Nnauye amesema asilaumiwe yeye kwa kupitishwa bila kupingwa kwani sheria hiyo imekuwepo kabla yeye hajawa mbunge.
Zaidi ya hapo ni kuoneana wivu tu, ametweet Nape.
My take: Nape yuko sahihi yeye ni mnufaika wa sheria dhaifu.
Maendeleo hayana vyama!
Kwamba kwako kung'amua tofauti yao unahitaji kipaji maalum bwashee? Nadhani ni jambo rahisi kuona tofauti zao kuliko kuona similarities zao.Freeman na Makongoro wanatofautiana nini?
Sasa ni kipi hujui hapo bwashee...Huyo Mwandosya kwao ni mtama?!
Nawasiwasi na yeye hatadhamani kulikuw na kivuli napicha lakini mtuhakupita bilakupigiwa kuraMbunge mteule wa jimbo la mtama huko Lindi Nape Nnauye amesema asilaumiwe yeye kwa kupitishwa bila kupingwa kwani sheria hiyo imekuwepo kabla yeye hajawa mbunge.
Zaidi ya hapo ni kuoneana wivu tu, ametweet Nape.
My take: Nape yuko sahihi yeye ni mnufaika wa sheria dhaifu.
Maendeleo hayana vyama!
dawa ya kukomesha uhuni wa CCM ni maushahidi.We are gathering evidence
Je Hussein Mwinyi kwao ilikuwa Mkuranga?Huyo Mwandosya kwao ni mtama?!
Sasa Hussein Ally Hassan Mwinyi na Nape Nauye Mwandosya wapi na wapi?Je Hussein Mwinyi kwao ilikuwa Mkuranga?
Kunyamaza saa zingine huwa kunasaidia kuliko kufungua kinywa...
Hahahahaaa! Mkuu!Sasa Hussein Ally Hassan Mwinyi na Nape Nauye Mwandosya wapi na wapi?
Uwe unaelewa bwashee usiwe Wakukurupuka futuhi!
Mtu akikutazama mavazi akuona kama muungwana vile ila upanuapo kinywa anakutambua vema u nani bwashee!!!Sasa Hussein Ally Hassan Mwinyi na Nape Nauye Mwandosya wapi na wapi?
Uwe unaelewa bwashee usiwe Wakukurupuka futuhi!
Kwani Nape anakuwaje zao la Mwenge sijakupata.Nape ni zao la mbio za Mwenge. Akili zake ni kama za Wanamwenge. Prof. Mwandosya anajuta kuwa na mtoto mjinga kama NAPE
Mbunge mteule wa jimbo la mtama huko Lindi Nape Nnauye amesema asilaumiwe yeye kwa kupitishwa bila kupingwa kwani sheria hiyo imekuwepo kabla yeye hajawa mbunge...