Pre GE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe zero brain mpo wengiee..!
 
Upo sahihi
 
Jitathmini, TL ni msomi wa kiwango cha juu sana.
 
Aache blabla ajibu hoja
Waitishe mdahalo tuone kama ana cha kujibu
 
Ubaguzi ni laana watanzania wanajielewa hatudanganyiki wala kuikaribisha laana hiyo ufe nayo mwenyewe.
 
Kwani lazima tuungane kwa aina hii ya muungano?
Huu muungano ni wa hila. Iitishwe kura ya maoni tuamue na hoja ifungwe
 
Samia angekua anajielewa mwakani angepumzika tu
Ukiamgalia body language ya Samia utajua kuwa yeye binafsi anaona kuendelea kuwa Rais ni mzigo mzito kwake angependelea apumzike lakini kuna watu wanafaidika kwa Samia kuendelea kuwa Rais na wao ndio wanaomshinikiza aendelee ; wakiongozwa na Vasco Dagama kaka wa Msoga!
 
Kuokoa natural resources ni operasheni, mwenyeakili hawezi vumilia kuona mbuga ikigeuka mji huku ukijengwa makazi ya kudumu.
#Elewa hili kwanza,then jipime akili yako ipo sawa.

Wewe bwege, kufukuzwa Wamasai na kupewa waarabu kufanya ujangili ndio kuokoa natural resouces? Naona upo kwenye dili unatetea kuhamisha wanyama wengi uarabuni na kuua wanyama wengi kwa dau dola 20,000 kwa kichwa. Lazima utakuwepo kwenye huu upigaji.
 

Utakemeaje ukweli Nape🤔
 
Wewe jinga kabisa,Lissu yupo sahihi
 
Japo mimi ni mwanaccm lakini ni Bora nimsikilize Lisu kuliko.wauza Bandari na ardhi yetu kwa waarabu!
 
Wewe la kwako lipoje? Mwanaume mzima tangia lini ukaanza kuangalia vichwa vya wanaume wenzako badala ya kufanya kazi ujipatie kipato?
Kumbe wewe unaingiza kipato kupitia uchawa wako! Hongera endelea kukesha humu JF.
Hata hivyo Lissu hayuko kwenye viwango vyako wewe uliyeshindwa darasa la saba.
 
Kila mtu ana haki ya kusikikizwa, Watanzania tutaendelea kusikikizwa kila upande ila tutabaki na maamuzi yetu sahihi. Kuwakataza wananchi kusikikizwa ni kuwanyima haki ya kupata maoni, vigezo na ushahidi wa kufanya maamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…