Lissu hawezi kulaaniwa na wananchi wenye akili. Wewe Nape ( Siandiki ubini wako unaoutumia kwani inajulikana marehemu Moses Mnauye sio baba yako)! Wewe ndio ulaaniwe kwa kukosa adabu na heshima kwa kuwatukana viongozi wa nchi kupitia handle yenu ya KIGOGO wewe na genge lako!Hatuwezi kumlaani hajatukosea labda umlaani wewe.....wote mnatafutia watoto zenu chakula.......kama sisi tunapotoka Asubuhi......sisi tumlaani?!!! Baadaye mnakwenda kucheza Golf,mnakunywa kahawa nakucheza Chess.......jamani nimewaza Kwa sauti tu nisamehewe.
Hustahili hata Chembe kupewa nafasi ya uongozi katika serikali yeyote makini ya nchi hii.