Pre GE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

Pre GE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hatuwezi kumlaani hajatukosea labda umlaani wewe.....wote mnatafutia watoto zenu chakula.......kama sisi tunapotoka Asubuhi......sisi tumlaani?!!! Baadaye mnakwenda kucheza Golf,mnakunywa kahawa nakucheza Chess.......jamani nimewaza Kwa sauti tu nisamehewe.
Lissu hawezi kulaaniwa na wananchi wenye akili. Wewe Nape ( Siandiki ubini wako unaoutumia kwani inajulikana marehemu Moses Mnauye sio baba yako)! Wewe ndio ulaaniwe kwa kukosa adabu na heshima kwa kuwatukana viongozi wa nchi kupitia handle yenu ya KIGOGO wewe na genge lako!
Hustahili hata Chembe kupewa nafasi ya uongozi katika serikali yeyote makini ya nchi hii.
 
Acha uhayawani wako na ujinga hapa wewe.vinini vimeuzwa.Taifa letu ni moja na watanzania ni wamoja .msituletee ujinga wenu wa kutaka kupandikiza ubaguzi baada ya kuwa mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa hoja ili wawaungeni mkono.

Vituo vya afya, hospitali za wilaya, mikoa, kanda na rufaa zilizojengwa hapa Bara kwa wingi sana, kwanini zisingejengwa Zanzibar? Km 237.9 za barabarani za njia nne za lami kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe kwanini zisijengwe Zanzibar kwa kuwa Rais anatokea Zanzibar? Vipi kuhusu maelfu ya ajira yaliyotolewa na kupewa vijana? Vipi kuhusu kupandishwa kwa mishahara kwa watumishi wa umma? Kwanini kumefanyika na kutolewa pesa? Pesa hizo si zingepelekwa basi Zanzibar?

Kwanini CHADEMA hamna akili kiasi hicho? Mnatumia ujumbe gani kwa viongozi wenu wanaotoka zanzibar na wapo ndani ya CHADEMA? Hamtakwenda kuomba kura Zanzibar uchaguzi ujao?
Samahani mkuu hizo ajira alizotoa mama haziwahusu wa znz? Yaani wanaajiriwa wa bara pekee?
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Tanzania, Nape Nnauye amelaani vikali kauli iliyotolewa na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu madai ya Rais Samia kuwaondoa Wamasai wa Ngorongoro kisa yeye ni Mzanzibari.

Waziri Nape amesema kauli hii inapaswa kupingwa na kila mwenye akili timamu kwani ni hoja za watu waliofilisika kisiasa.

"Watanzania tusikubali upuuzi huu, na mimi nitawashangaa watanzania waliozaliwa wakati wa Muungano hata wanaokwenda kumsikiliza mpuuzi huyu, tumkemee, tumtenge, tumlaani" amesema Nape.

Amebainisha ikiwa watanzania wataendelea kuangalia vitendo hivi vya ukosoaji kwa Rais kwa kutumia jinsia, kabila au sehemu anakotoka watakuwa hawaitendei haki nchi.

Ameongeza, "Ni Rais huyu ndiye amesema andamaneni, polisi kawalindeni, na leo walikuwa wanaandamana hapa. Wamelindwa na Polisi, wamesindikizwa walipoenda, wamesababisha foleni dodoma hapa, magari yamesimamishwa ili wao waandamane, kwa uungwana wa huyu mama anayemtukana"


View: https://www.youtube.com/live/2FZwDIHGIYE?si=sJH-YKoIJDyvB8rQ

Nape Nauye ni Moja Kati ya Wanaume wadhaifu Tanzania. Ni mtu abayetega mwiba alafu unakuja kumchoma.
Mimi nikiwa mtoto wa Nape siwezi jivunia mbele za watu Eti Nape is my Dady
Nape ana siasa za kichawa tu
 
Kwa hakika Lissu anapaswa kutengwa na kulaaniwa sana na kukemewa kwa nguvu zote na watanzania wote wenye mapenzi mema na Taifa letu, kwa kuendekeza tabia yake ya kutoa maneno yenye kuchochea ubaguzi.

Mdomo wa Lissu haunaga adabu wala staha wala hekima.anazungumzaga vitu visivyoendana na umri wake ni mtu wa kuropoka ropoka tu utafikiri mgonjwa.

Anashindwa kujenga hoja akaeleweka badala yake anakimbilia kujenga chuki na ubaguzi tu wa kijinga jinga .akifikiri ndio njia ya kupata kura za wananchi.
Mbona hujawahi kulaani mawaziri wanaotukana na kumlipa mange amtukane Raisi au ni venye Malaya wa kisiasa
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Tanzania, Nape Nnauye amelaani vikali kauli iliyotolewa na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu madai ya Rais Samia kuwaondoa Wamasai wa Ngorongoro kisa yeye ni Mzanzibari.

Waziri Nape amesema kauli hii inapaswa kupingwa na kila mwenye akili timamu kwani ni hoja za watu waliofilisika kisiasa.

"Watanzania tusikubali upuuzi huu, na mimi nitawashangaa watanzania waliozaliwa wakati wa Muungano hata wanaokwenda kumsikiliza mpuuzi huyu, tumkemee, tumtenge, tumlaani" amesema Nape.

Amebainisha ikiwa watanzania wataendelea kuangalia vitendo hivi vya ukosoaji kwa Rais kwa kutumia jinsia, kabila au sehemu anakotoka watakuwa hawaitendei haki nchi.

Ameongeza, "Ni Rais huyu ndiye amesema andamaneni, polisi kawalindeni, na leo walikuwa wanaandamana hapa. Wamelindwa na Polisi, wamesindikizwa walipoenda, wamesababisha foleni dodoma hapa, magari yamesimamishwa ili wao waandamane, kwa uungwana wa huyu mama anayemtukana"


View: https://www.youtube.com/live/2FZwDIHGIYE?si=sJH-YKoIJDyvB8rQ

Kauli ya makonda kuhusu wanaomlipa mange amtukane bi mkubwa bado inamtesa mwamba huyu
 
Nape, kuandamana ni haki ya kikatiba, siyo hisani. Wewe chawa huwezi kufikiri zaidi ya kutetea tumbo lako.

Kwanini bandari za zanzibar hakuziuza kwa waarabu? wazaznzibari hawataki mapesa ya waarabu. Una akili za uchawa
Hivi huyo Nape aliponaga magoti baada ya kuyatembelea kwenda kuomba poooh/msamaha kwa marehemu?Maana unaweza kukuta anaongea huku anakuna vidonda magotini na kukosa umakini wa kuchagua maneno ya kuongea.
 
Wadau ule useme wa "NYANI haoni KUNDULE" hatimae umetimia.Sikutarajia mtu kama NAPE Atamnyooshea kidole Mh Tundu Lissu.
NAPE ni mmoja wa Watu Waliowatukana Viongozi wetu bila kujali Umri wao na madaraka na Michango yao kwa Taifa.
NAPE alimtukana sana Hayati Magufuli mara baada ya kufukuzwa UWAZIRI
NAPE alimtukana sana Hayati LOWASSA Waziri Mkuu Mstaafu bila kujali michango yake ktk Chama na Serikali
Je Leo NAPE Ana usafi gani wa kumnyooshea kidole Mh.TUNDU LISSU?
NAPE aache UNAFIKI
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Tanzania, Nape Nnauye amelaani vikali kauli iliyotolewa na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu madai ya Rais Samia kuwaondoa Wamasai wa Ngorongoro kisa yeye ni Mzanzibari.

Waziri Nape amesema kauli hii inapaswa kupingwa na kila mwenye akili timamu kwani ni hoja za watu waliofilisika kisiasa.

"Watanzania tusikubali upuuzi huu, na mimi nitawashangaa watanzania waliozaliwa wakati wa Muungano hata wanaokwenda kumsikiliza mpuuzi huyu, tumkemee, tumtenge, tumlaani" amesema Nape.

Amebainisha ikiwa watanzania wataendelea kuangalia vitendo hivi vya ukosoaji kwa Rais kwa kutumia jinsia, kabila au sehemu anakotoka watakuwa hawaitendei haki nchi.

Ameongeza, "Ni Rais huyu ndiye amesema andamaneni, polisi kawalindeni, na leo walikuwa wanaandamana hapa. Wamelindwa na Polisi, wamesindikizwa walipoenda, wamesababisha foleni dodoma hapa, magari yamesimamishwa ili wao waandamane, kwa uungwana wa huyu mama anayemtukana"


View: https://www.youtube.com/live/2FZwDIHGIYE?si=sJH-YKoIJDyvB8rQ

Kati ya Nape na Lissu nani ni mpuuzi?
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Tanzania, Nape Nnauye amelaani vikali kauli iliyotolewa na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu madai ya Rais Samia kuwaondoa Wamasai wa Ngorongoro kisa yeye ni Mzanzibari.

Waziri Nape amesema kauli hii inapaswa kupingwa na kila mwenye akili timamu kwani ni hoja za watu waliofilisika kisiasa.

"Watanzania tusikubali upuuzi huu, na mimi nitawashangaa watanzania waliozaliwa wakati wa Muungano hata wanaokwenda kumsikiliza mpuuzi huyu, tumkemee, tumtenge, tumlaani" amesema Nape.

Amebainisha ikiwa watanzania wataendelea kuangalia vitendo hivi vya ukosoaji kwa Rais kwa kutumia jinsia, kabila au sehemu anakotoka watakuwa hawaitendei haki nchi.

Ameongeza, "Ni Rais huyu ndiye amesema andamaneni, polisi kawalindeni, na leo walikuwa wanaandamana hapa. Wamelindwa na Polisi, wamesindikizwa walipoenda, wamesababisha foleni dodoma hapa, magari yamesimamishwa ili wao waandamane, kwa uungwana wa huyu mama anayemtukana"


View: https://www.youtube.com/live/2FZwDIHGIYE?si=sJH-YKoIJDyvB8rQ

Nape ,Nape nampa siku 14 akatubu vinginevyo nitafunga siku 14 kwa ajili yake na Mungu atashughulika nae ,labda kama hili taifa sio la Mungu na yeye sio mtanganyika
 
NAPE AMVAA LISU KUTUMIA MANENO YA KIBAGUZI KWA RAIS SAMIA

“Watanzania asilimia 70 mpaka 80 tumezaliwa baada ya muungano, kwa hiyo hatujui kule nyuma sisi tunajua muungano wetu, ndiyo maana ni muhimu sana Watanzania tukahamasishana kuulinda na kuutetea kwa wivu na nguvu kubwa sana” Nape

“Kumeanza kutokea wanasiasa wenzetu nadhani kwa kufilisika kisiasa wameanza kutomasatomasa utamaduni wa kuheshimu katiba yetu, utamaduni wa kuheshimu muungano wetu, na wanatumia maneno ya ‘hovyo’ kidogo ambayo tukinyamanza tukayavumilia kidogokidogo utamaduni utaporomoka tutaliangamiza taifa letu , muhimu tuwakemee” Nape

“Yuko mjomba wangu mmoja anaitwa Tundu Antipas Lissu juzi akiwa Babati Manyara amesimama mchana kweupe akaanza kukosoa baadhi ya mambo yanayofanywa na serikali ya awamu ya sita, kukosoa siyo tatizo lakini alikuwa anakosoa akisema ‘haya mambo yamefanywa kwa sababu Rais aliyeko madarakani ni Mzanzibari’, hili tukilinyamazia litaota mizizi litabomoa taifa letu, hatuwezi kukubali mambo ya mtu mmoja kalewa na akaleweshwa na utu, ubinadamu, uzalendo na uungwana na huyu anayemwita Mzanzibari” Nape.

Hayo yamezungumzwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtama (CCM) Nape Nnauye wakati akichangia hoja ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 Jumatatu Aprili 29, 2024 bungeni jijini Dodoma.

 
Back
Top Bottom