Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Yeye na Hamorapa ni mashujaa waliokwepa risasi.Nape tangu akoswe na risasi akili zikaenda likizo
Apate mtu wa kumsaidia kisaikolojiaYeye na Hamorapa ni mashujaa waliokwepa risasi.
Wanasababisha watu wafuatilieKila wanapokemea alichosema, ndio wanakiongezea mwendo
Laana ya machawa wapenda uchafu ni dua la kuku. Lissu anatusemea wenye akili tuKwa hakika Lissu anapaswa kutengwa na kulaaniwa sana na kukemewa kwa nguvu zote na watanzania wote wenye mapenzi mema na Taifa letu, kwa kuendekeza tabia yake ya kutoa maneno yenye kuchochea ubaguzi.
Mdomo wa Lissu haunaga adabu wala staha wala hekima.anazungumzaga vitu visivyoendana na umri wake ni mtu wa kuropoka ropoka tu utafikiri mgonjwa.
Anashindwa kujenga hoja akaeleweka badala yake anakimbilia kujenga chuki na ubaguzi tu wa kijinga jinga .akifikiri ndio njia ya kupata kura za wananchi.
Akijibu hilo kwa ufasaha nitaamini bangi haidhuru mtu.Amesemaje kuhusu Zanzibar yenye wapiga kura laki tano kuwa na wabunge 80 huku Dodoma yenye wapiga kura zaidi ya milioni 1 kuwa na wabunge 11??
Mimi sijawahi kumkubali Lissu kwa uropokaji wake enzi za JPM ila kwa kuwa alienda kutubu kaburini kwake nimemsamehe na kwa hili la sasa niko pamoja nae kabisa.Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika mweusi kumpa uhuru kwa kisingizio cha demkrasia si sahihi.
Hawa wahuni waliojazana kwenye hivi vyama vya upinzani ni hatari saana kuwaacha waropoke wanachojisikia kuropoka aisee.
Kutubu kwenye kaburi?You're out of your senses!Lissu ni mkristo.Anakufundisha kusamehe waliokukosea na kuwaombea dua njema marehemu na si kutubu kwa marehemu.Una wrong interpretations!Mimi sijawahi kumkubali Lissu kwa uropokaji wake enzi za JPM ila kwa kuwa alienda kutubu kaburini kwake nimemsamehe na kwa hili la sasa niko pamoja nae kabisa.
Alichosema ni sahihi kwa mtu mwenye akili timamu ila kwa chawa wa mama ni mwiba mkali. Tunahubiri heshima kwa katiba ila sisi sio wasafi. Unaanzaje kuhimiza watu waheshimu katiba ilihali wewe huieshimu?
Kukubali ni jambo moja.Na,ukweli thabiti ni jambo lingine kwa mapana yake.Whatever bruh ila i always stand with truth. Anachosema zito kina make sense by 100% kama uko na utimamu thats why namkubali. Moisemusajiografii
Sana!Lissu yuko sahihi
Mimi nawashangaa wanaomsikiliza Nape ambaye wakishirikiana na Makamba, Kinana na Mzee Makamba walitukana serikali nzima ya Magufuli!Kwa hakika Lissu anapaswa kutengwa na kulaaniwa sana na kukemewa kwa nguvu zote na watanzania wote wenye mapenzi mema na Taifa letu, kwa kuendekeza tabia yake ya kutoa maneno yenye kuchochea ubaguzi.
Mdomo wa Lissu haunaga adabu wala staha wala hekima.anazungumzaga vitu visivyoendana na umri wake ni mtu wa kuropoka ropoka tu utafikiri mgonjwa.
Anashindwa kujenga hoja akaeleweka badala yake anakimbilia kujenga chuki na ubaguzi tu wa kijinga jinga .akifikiri ndio njia ya kupata kura za wananchi.
Nchi zenye vita zilianza taratibu na watu kama Lissu kuropoka na wakaachwa wakaenda hatua ya pili. Nape ana hoja nzito ni vizuri kumuunga mkono.
Kukosoa sera ni muhimu ila si vizuri kumshambulia dereva, gari huanguka na watu wakafa!
LissuSamahani! Hivi Tundulisu na Nape ni Nani ana akili?
Temeke ina kura sawa na Zanzibar yote. Temeke mbunge mmoja, Zanzibar 80.Amesemaje kuhusu Zanzibar yenye wapiga kura laki tano kuwa na wabunge 80 huku Dodoma yenye wapiga kura zaidi ya milioni 1 kuwa na wabunge 11??