Pre GE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

Pre GE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hakika Lissu anapaswa kutengwa na kulaaniwa sana na kukemewa kwa nguvu zote na watanzania wote wenye mapenzi mema na Taifa letu, kwa kuendekeza tabia yake ya kutoa maneno yenye kuchochea ubaguzi.

Mdomo wa Lissu haunaga adabu wala staha wala hekima.anazungumzaga vitu visivyoendana na umri wake ni mtu wa kuropoka ropoka tu utafikiri mgonjwa.

Anashindwa kujenga hoja akaeleweka badala yake anakimbilia kujenga chuki na ubaguzi tu wa kijinga jinga .akifikiri ndio njia ya kupata kura za wananchi.
Laana ya machawa wapenda uchafu ni dua la kuku. Lissu anatusemea wenye akili tu
 
Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika mweusi kumpa uhuru kwa kisingizio cha demkrasia si sahihi.

Hawa wahuni waliojazana kwenye hivi vyama vya upinzani ni hatari saana kuwaacha waropoke wanachojisikia kuropoka aisee.
Mimi sijawahi kumkubali Lissu kwa uropokaji wake enzi za JPM ila kwa kuwa alienda kutubu kaburini kwake nimemsamehe na kwa hili la sasa niko pamoja nae kabisa.

Alichosema ni sahihi kwa mtu mwenye akili timamu ila kwa chawa wa mama ni mwiba mkali. Tunahubiri heshima kwa katiba ila sisi sio wasafi. Unaanzaje kuhimiza watu waheshimu katiba ilihali wewe huieshimu?
 
Mimi sijawahi kumkubali Lissu kwa uropokaji wake enzi za JPM ila kwa kuwa alienda kutubu kaburini kwake nimemsamehe na kwa hili la sasa niko pamoja nae kabisa.

Alichosema ni sahihi kwa mtu mwenye akili timamu ila kwa chawa wa mama ni mwiba mkali. Tunahubiri heshima kwa katiba ila sisi sio wasafi. Unaanzaje kuhimiza watu waheshimu katiba ilihali wewe huieshimu?
Kutubu kwenye kaburi?You're out of your senses!Lissu ni mkristo.Anakufundisha kusamehe waliokukosea na kuwaombea dua njema marehemu na si kutubu kwa marehemu.Una wrong interpretations!
 
Kwa hakika Lissu anapaswa kutengwa na kulaaniwa sana na kukemewa kwa nguvu zote na watanzania wote wenye mapenzi mema na Taifa letu, kwa kuendekeza tabia yake ya kutoa maneno yenye kuchochea ubaguzi.

Mdomo wa Lissu haunaga adabu wala staha wala hekima.anazungumzaga vitu visivyoendana na umri wake ni mtu wa kuropoka ropoka tu utafikiri mgonjwa.

Anashindwa kujenga hoja akaeleweka badala yake anakimbilia kujenga chuki na ubaguzi tu wa kijinga jinga .akifikiri ndio njia ya kupata kura za wananchi.
Mimi nawashangaa wanaomsikiliza Nape ambaye wakishirikiana na Makamba, Kinana na Mzee Makamba walitukana serikali nzima ya Magufuli!
 
Nchi zenye vita zilianza taratibu na watu kama Lissu kuropoka na wakaachwa wakaenda hatua ya pili. Nape ana hoja nzito ni vizuri kumuunga mkono.
Kukosoa sera ni muhimu ila si vizuri kumshambulia dereva, gari huanguka na watu wakafa!

Kama wenye mamlaka wanajua katiba mpya ndio inayohitajika sasa na kwa makusudi wanakwepa hilo hivi machafuko yakitokea kuna wa kumlaumu?
 
Hivi aliyesema watanganyika waingie kwa passport huko Zanzibar, alikuwa sahihi?
 
Uzuri ni kwamba tuna karbia kugawana mbao , sizani kama tutatoboa miaka 50
 
Back
Top Bottom