Pre GE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

Pre GE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hakika Lissu anapaswa kutengwa na kulaaniwa sana na kukemewa kwa nguvu zote na watanzania wote wenye mapenzi mema na Taifa letu, kwa kuendekeza tabia yake ya kutoa maneno yenye kuchochea ubaguzi.

Mdomo wa Lissu haunaga adabu wala staha wala hekima.anazungumzaga vitu visivyoendana na umri wake ni mtu wa kuropoka ropoka tu utafikiri mgonjwa.

Anashindwa kujenga hoja akaeleweka badala yake anakimbilia kujenga chuki na ubaguzi tu wa kijinga jinga .akifikiri ndio njia ya kupata kura za wananchi.
Wewe bwabwa kaa kimya. Huyo Mbwa anayeitwa Nepi anabwekabweka TU.
 
Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika mweusi kumpa uhuru kwa kisingizio cha demkrasia si sahihi.

Hawa wahuni waliojazana kwenye hivi vyama vya upinzani ni hatari saana kuwaacha waropoke wanachojisikia kuropoka aisee.
Kwa hiyo hao Mbwa wanaiouza nchi kwa mabwana zao waarabu na wazungu migodini ndio wenye haki ya kuendelea kuwatia madole waTz!?
 
Kwa hakika Lissu anapaswa kutengwa na kulaaniwa sana na kukemewa kwa nguvu zote na watanzania wote wenye mapenzi mema na Taifa letu, kwa kuendekeza tabia yake ya kutoa maneno yenye kuchochea ubaguzi.

Mdomo wa Lissu haunaga adabu wala staha wala hekima.anazungumzaga vitu visivyoendana na umri wake ni mtu wa kuropoka ropoka tu utafikiri mgonjwa.

Anashindwa kujenga hoja akaeleweka badala yake anakimbilia kujenga chuki na ubaguzi tu wa kijinga jinga .akifikiri ndio njia ya kupata kura za wananchi.
Tusikemee chama la majizi ya kura, tukemee mtu anayeongelea nchi yetu kuuzwa na majizi na muungano wa shuruti?!
 
Acha uhayawani wako na ujinga hapa wewe.vinini vimeuzwa.Taifa letu ni moja na watanzania ni wamoja .msituletee ujinga wenu wa kutaka kupandikiza ubaguzi baada ya kuwa mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa hoja ili wawaungeni mkono.
Vituo vya afya, hospitali za wilaya, mikoa, kanda na rufaa zilizojengwa hapa Bara kwa wingi sana, kwanini zisingejengwa Zanzibar? Km 237.9 za barabarani za njia nne za lami kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe kwanini zisijengwe Zanzibar kwa kuwa Rais anatokea Zanzibar? Vipi kuhusu maelfu ya ajira yaliyotolewa na kupewa vijana? Vipi kuhusu kupandishwa kwa mishahara kwa watumishi wa umma? Kwanini kumefanyika na kutolewa pesa? Pesa hizo si zingepelekwa basi Zanzibar?
Kwanini CHADEMA hamna akili kiasi hicho? Mnatumia ujumbe gani kwa viongozi wenu wanaotoka zanzibar na wapo ndani ya CHADEMA? Hamtakwenda kuomba kura Zanzibar uchaguzi ujao?
Ona huyu honey C
 
Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika mweusi kumpa uhuru kwa kisingizio cha demkrasia si sahihi.

Hawa wahuni waliojazana kwenye hivi vyama vya upinzani ni hatari saana kuwaacha waropoke wanachojisikia kuropoka aisee.
Ni kweli kabisa sisi manyani demokrasia yetu ni kupora uchaguzi na kugawana vyeo kwa kujuana.
 
Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika mweusi kumpa uhuru kwa kisingizio cha demkrasia si sahihi.

Hawa wahuni waliojazana kwenye hivi vyama vya upinzani ni hatari saana kuwaacha waropoke wanachojisikia kuropoka aisee.
Nchi zenye vita zilianza taratibu na watu kama Lissu kuropoka na wakaachwa wakaenda hatua ya pili. Nape ana hoja nzito ni vizuri kumuunga mkono.
Kukosoa sera ni muhimu ila si vizuri kumshambulia dereva, gari huanguka na watu wakafa!
 
Nchi zenye vita zilianza taratibu na watu kama Lissu kuropoka na wakaachwa wakaenda hatua ya pili. Nape ana hoja nzito ni vizuri kumuunga mkono.
Kukosoa sera ni muhimu ila si vizuri kumshambulia dereva, gari huanguka na watu wakafa!
Kama Kuna chama kitaleta vita nchi hii ni ccm, chama kinachopora uchaguzi waziwazi na watu wanatulia wakiwa na ghadhabu kwanini kisilete vita? Na ukweli mchungu, bila machafuko nchi yetu haitapata mabadiliko ya kweli. Iweje huo uhayawani usione utaleta vita, ila kusema ukweli ndio iwe ndio sababu ya vita?
 
Acha uhayawani wako na ujinga hapa wewe.vinini vimeuzwa.Taifa letu ni moja na watanzania ni wamoja .msituletee ujinga wenu wa kutaka kupandikiza ubaguzi baada ya kuwa mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa hoja ili wawaungeni mkono.
Vituo vya afya, hospitali za wilaya, mikoa, kanda na rufaa zilizojengwa hapa Bara kwa wingi sana, kwanini zisingejengwa Zanzibar? Km 237.9 za barabarani za njia nne za lami kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe kwanini zisijengwe Zanzibar kwa kuwa Rais anatokea Zanzibar? Vipi kuhusu maelfu ya ajira yaliyotolewa na kupewa vijana? Vipi kuhusu kupandishwa kwa mishahara kwa watumishi wa umma? Kwanini kumefanyika na kutolewa pesa? Pesa hizo si zingepelekwa basi Zanzibar?
Kwanini CHADEMA hamna akili kiasi hicho? Mnatumia ujumbe gani kwa viongozi wenu wanaotoka zanzibar na wapo ndani ya CHADEMA? Hamtakwenda kuomba kura Zanzibar uchaguzi ujao?
Waulizwe wananchi wa nchi zote mbili kwa kura ya maoni ya halali kama wanataka huu muungano, hapo ndio utajua huu muungano ni kwa ajili ya viongozi majizi wa ccm. Muungano ambao watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi ama kushika nafasi za uongozi huko Zanzibar, ila wazanzibar Kila kitu huku wanaweza kukipata? Hakuna mtu anayejitambua atawez kuendekeza muungano wa hivyo.
 
Acha uhayawani wako na ujinga hapa wewe.vinini vimeuzwa.Taifa letu ni moja na watanzania ni wamoja .msituletee ujinga wenu wa kutaka kupandikiza ubaguzi baada ya kuwa mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa hoja ili wawaungeni mkono.
Vituo vya afya, hospitali za wilaya, mikoa, kanda na rufaa zilizojengwa hapa Bara kwa wingi sana, kwanini zisingejengwa Zanzibar? Km 237.9 za barabarani za njia nne za lami kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe kwanini zisijengwe Zanzibar kwa kuwa Rais anatokea Zanzibar? Vipi kuhusu maelfu ya ajira yaliyotolewa na kupewa vijana? Vipi kuhusu kupandishwa kwa mishahara kwa watumishi wa umma? Kwanini kumefanyika na kutolewa pesa? Pesa hizo si zingepelekwa basi Zanzibar?
Kwanini CHADEMA hamna akili kiasi hicho? Mnatumia ujumbe gani kwa viongozi wenu wanaotoka zanzibar na wapo ndani ya CHADEMA? Hamtakwenda kuomba kura Zanzibar uchaguzi ujao?

Umesahau kuweka namba ya simu
 
Acha uhayawani wako na ujinga hapa wewe.vinini vimeuzwa.Taifa letu ni moja na watanzania ni wamoja .msituletee ujinga wenu wa kutaka kupandikiza ubaguzi baada ya kuwa mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa hoja ili wawaungeni mkono.
Vituo vya afya, hospitali za wilaya, mikoa, kanda na rufaa zilizojengwa hapa Bara kwa wingi sana, kwanini zisingejengwa Zanzibar? Km 237.9 za barabarani za njia nne za lami kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe kwanini zisijengwe Zanzibar kwa kuwa Rais anatokea Zanzibar? Vipi kuhusu maelfu ya ajira yaliyotolewa na kupewa vijana? Vipi kuhusu kupandishwa kwa mishahara kwa watumishi wa umma? Kwanini kumefanyika na kutolewa pesa? Pesa hizo si zingepelekwa basi Zanzibar?
Kwanini CHADEMA hamna akili kiasi hicho? Mnatumia ujumbe gani kwa viongozi wenu wanaotoka zanzibar na wapo ndani ya CHADEMA? Hamtakwenda kuomba kura Zanzibar uchaguzi ujao?
Andaa passport ya kwenda Zanzibar, wenyewe hawataki muungano wa shuruti.
 
Acha uhayawani wako na ujinga hapa wewe.vinini vimeuzwa.Taifa letu ni moja na watanzania ni wamoja .msituletee ujinga wenu wa kutaka kupandikiza ubaguzi baada ya kuwa mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa hoja ili wawaungeni mkono.
Vituo vya afya, hospitali za wilaya, mikoa, kanda na rufaa zilizojengwa hapa Bara kwa wingi sana, kwanini zisingejengwa Zanzibar? Km 237.9 za barabarani za njia nne za lami kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe kwanini zisijengwe Zanzibar kwa kuwa Rais anatokea Zanzibar? Vipi kuhusu maelfu ya ajira yaliyotolewa na kupewa vijana? Vipi kuhusu kupandishwa kwa mishahara kwa watumishi wa umma? Kwanini kumefanyika na kutolewa pesa? Pesa hizo si zingepelekwa basi Zanzibar?
Kwanini CHADEMA hamna akili kiasi hicho? Mnatumia ujumbe gani kwa viongozi wenu wanaotoka zanzibar na wapo ndani ya CHADEMA? Hamtakwenda kuomba kura Zanzibar uchaguzi ujao?
Unaroroma upuuzi mtupu!! Jifunze kujibu hoja.
 
Badala ya kuwahimiza ma CCM wenzake anataka kutuingiza Watanganyika wote kwenye maugomvi yao wakati wanaoitafuna nchi ni wao na familia zao.
Eti tumtenge na kumlaani wakati wa kutengwa na kulaniwa ni wao walafi wasiotosheka!
 
Back
Top Bottom