ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,716
- 2,388
Kwanini hakuendelea kulinda heshima yake hata mbele ya bastola?Alitaka kuongea wakamtolea bastola
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hakuendelea kulinda heshima yake hata mbele ya bastola?Alitaka kuongea wakamtolea bastola
Sasa kama alikua hawezi kwanini alileta kiherehere cha kuongea in the first place?Kipindi cha mwendazake ,we kuweza?
Quite a head scratcher. It speaks volume of how government officials perceive the current administration.Kwanza kabisa ni kinyume cha kiapo chake cha uwaziri. Aliapa atamtii Rais na hatatoa siri ya mambo ya serkali isipokua kwa idhini ya Rais. Yeye mpaka sasa in mtumishi wa serkali hatakiwi kuyasema hayo aliyosema hats kama no kweli alikatazwa hiyo ilikua siri. Hivyo anafanya kosa la chini ya kiapo ( perjury).
Kama Waziri Nape ni mtu wa hivi, ilikuwa tena akaomba msamaha tena kwa ... Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for IntegrityWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.
Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
Another reference from your past writing. Always great to read your pov, which as always is a repertoire of current and future tanzanian political landscape analysis and socio economic dynamicsKama Waziri Nape ni mtu wa hivi, ilikuwa tena akaomba msamaha tena kwa ... Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity
P
Usiwe kama sio mjinga, uliza safari nyingine alizokua anaenda hapo tena usiku alikua anaenda vipi ndo ujue kama kwenda vile na silaha ilikua ni uvamizi ama ilikua kawaida yake.Kwa nini Makonda alienda na watu waliokuwa na silaha katika kituo cha habari? Hii haikuwa kuhatarisha usalama wa wafanyakazi wa hichk kituo?
Inamaanisha watu walio washikaji kiasi cha kuvuka mipaka wakigombana kiasi cha mshikaji mmoja kuja na silaha kwa mshikaji mwingine polisi au serikali haitakiwi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua zozote??
Thanks. Mimi nimesoma history, hivyo maandiko yangu mengi naweka references za history, tulikotoka na tulipo ili tujue tunapokwenda.Another reference from your past writing. Always great to read your pov, which as always is a repertoire of current and future tanzanian political landscape analysis and socio economic dynamics
Hakukua na uvamizi at least kwa video iliyoonekana mitandaoni, huyo nape alitaka kumfundisha kazi bosi wake.Fafanua zaid hapa.. kwamba makonda alikua sahihi? Kwamba uchunguzi ulikua wa kusingizia hakukua na uvamizi clouds?
Umeandika hii ukiwa unavuta kitu gani?80 tzs ili kupiga sabuni cloud, wajuba kuona akachimbwa biti, waliotoa usipojitokeza na waliotoa ni wafanya ugali ile kutengeneza dona ndiyo bise yao, kuona nganda ilivyo na nguvu duh wangemuua, duh vile basi bora kupoteza ila awe hai na kwenda msamaha tu ila nipo hai. Sasa yupi mzalendo mla rushwa na anaye sapoti dona??????
Huyo mvamizi mbona hajashtakiwa mpaka sasa? Au kasamehewa ?Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.
“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”
Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.
"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"
Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.
"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"
Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
Hiyo ni code, bosi wako alilamba hela ili kusafisha wauza madawa
Kwamba unaona angemteka au kumuuwa kabisa?Halafu baada ya kusema lile bedui lenu lililo kuwa lina ua na kuteka watu limfanyeje? Ndio maana huwa nawaona mna akili ndogo sana.
Sasa hivi nchi ipo kwenye mikono ya Stupid gang wanatafuna pesa kwa kasi sana.Mwendazake alikuwa anaendesha nchi hii kipumbavu sana. Kama Mungu asingefanya maamuzi magumu hadi sasa, nchi hii ingeingia jumla kwenye mikono haramu ya Sukuma Gang.
Sasa hao ni nani kufananisha na aliyekuwa rais wa nchi?Mkituletea Ben saanane azori gwanda na wengine walio potea kwenye mazingira ya kutatanisaha tuta waruhusu
Nani anaweza kuthibitisha haya maelezo kama sio kujitoa ufahamuWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.
“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”
Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.
"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"
Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.
"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"
Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema wakati anaenda kufanya uchunguzi wa uvamizi uliofanywa Clouds na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alizuiwa kwa kuambiwa kuwa atafukuzwa kazi kama ataenda kuchunguza tukio hilo.
“Asubuhi yake nilizuiwa kwenda kuchunguza, nikaambiwa ukienda utakuwa hauna kazi. Nikasema ni bora nisiwe na kazi lakini nilinde heshima.”
Ameongeza, “Kwa sababu katika mazingira wewe ndiyo waziri, watu wanavamia kituo, halafu wewe unatakiwa usiende. Unachagua kati ya heshima na kazi. Heshima utaenda nayo, kazi ipo siku itaondoka tu, kwa hiyo nikachagua heshima ambayo nadhani naendelea nayo leo”.
"Kwamba mwajiri anasema ukienda kazi huna, nikasema sawa, halafu mimi naendelea kusema tunachunguza, mwajiri anasema bhana wewe uliyevamia endelea na kazi vizuri hakuna shida"
Baada ya tukio hilo, Waziri Nape amebainisha kuwa waliunda Tume ambayo siku ya kusoma ripoti walianza kushauriana wasome au wasisome, ambapo aliwaaambia wajumbe wa tume kuwa kama wataisoma yeye hatakuwa tena na hiyo kazi.
"Wakasema Mhe. Waziri tukisoma utafukuzwa kazi, nikasema ndiyo na nimetoka kuthibitishiwa pia sasa hivi maana kabla ya pale nilipitia mahali, nikasema jamani ile taarifa ipo tayari na wananisubiria tufanyeje? Wakasema sasa uamue, uisome afu uondoke au uinyamazie uendelee na kazi. Nikatafakari, nikachagua heshima maana haviwezi kukaa pamoja"
Amekiri kuwa hata kitendo cha yeye kuondolewa wizarani hakikumshangaza kwa kuwa alijua litatokea, wakati anapokea taarifa aliwaambia wajumbe wa tume kuwa kuna gharama za kulipa baadae na yeye yupo tayari.
Stupid gang.Nape ni mzalendo zaidi kuliko marehemu. Alipambana yeye na Kinana kukiuisha chama wakati upinzani uko moto. Namkubali sana huyu dogo
Kutishiwa bastola?Nape ilikuwa auwawe na wale Wahutu,Mungu akamlinda.
Wale Wahutu hawajui kutishia muulize Lissu.Kutishiwa bastola?