Nape Nnauye: Sitegemei kukosea tena kuhusu Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari

Nape Nnauye: Sitegemei kukosea tena kuhusu Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwa awamu hii hatarajii kukosea tena kuhusu Media services act ambayo wadau wa habari wamekuwa wakiilalamikia tangu kuundwa kwake 2016.

Nape amesema hayo alipokuwa akipokea mapendekezo ya wadau wa habari nchini katika ofisi za TCRA, Novemba 21, 2022.

Wadau wa habari wamependekeza mabadiliko kwenye vifungu kadhaa ikiwemo kuondoa suala la Kashfa kwenye jinai, kuongeza muda wa leseni ili kuvutia uwekezaji, kutafsiri suala la Uchochezi, na kuondoa nguvu ya serikali kuingiria uhuru wa wahariri.

Nape ambaye alikuwepo wakatia sheria hiyo inaundwa mwaka 2016, ameahidi kuwa hahitaji kukosea tena kuhusu sheria hii ambayo tayari mapendekezo wameyapokea na baadhi yameshafanyiwa kazi.
 
Hategemei kukosea😳
Akosee mara ngapi? Tushazoea
 
Anavyokosea kwenye bando, huku nako atakosea vilevile.

Anvyotukana kwenye mitandao huko mnazani ataleta kitu gani cha ziada?
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwa awamu hii hatarajii kukosea tena kuhusu Media services act ambayo wadau wa habari wamekuwa wakiilalamikia tangu kuundwa kwake 2016.

Nape amesema hayo alipokuwa akipokea mapendekezo ya wadau wa habari nchini katika ofisi za TCRA, Novemba 21, 2022.

Wadau wa habari wamependekeza mabadiliko kwenye vifungu kadhaa ikiwemo kuondoa suala la Kashfa kwenye jinai, kuongeza muda wa leseni ili kuvutia uwekezaji, kutafsiri suala la Uchochezi, na kuondoa nguvu ya serikali kuingiria uhuru wa wahariri.

Nape ambaye alikuwepo wakatia sheria hiyo inaundwa mwaka 2016, ameahidi kuwa hahitaji kukosea tena kuhusu sheria hii ambayo tayari mapendekezo wameyapokea na baadhi yameshafanyiwa kazi.
Tulipenda aongelee vifurushi vya Bundles kwanza.
Haya Mengine ni bla blah tupu!
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwa awamu hii hatarajii kukosea tena kuhusu Media services act ambayo wadau wa habari wamekuwa wakiilalamikia tangu kuundwa kwake 2016.

Nape amesema hayo alipokuwa akipokea mapendekezo ya wadau wa habari nchini katika ofisi za TCRA, Novemba 21, 2022.

Wadau wa habari wamependekeza mabadiliko kwenye vifungu kadhaa ikiwemo kuondoa suala la Kashfa kwenye jinai, kuongeza muda wa leseni ili kuvutia uwekezaji, kutafsiri suala la Uchochezi, na kuondoa nguvu ya serikali kuingiria uhuru wa wahariri.

Nape ambaye alikuwepo wakatia sheria hiyo inaundwa mwaka 2016, ameahidi kuwa hahitaji kukosea tena kuhusu sheria hii ambayo tayari mapendekezo wameyapokea na baadhi yameshafanyiwa kazi.
kabla ya kupitishwa kuwa sheria, iwekwe wazi wananchi waisome na kuijadili
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwa awamu hii hatarajii kukosea tena kuhusu Media services act ambayo wadau wa habari wamekuwa wakiilalamikia tangu kuundwa kwake 2016.

Nape amesema hayo alipokuwa akipokea mapendekezo ya wadau wa habari nchini katika ofisi za TCRA, Novemba 21, 2022.

Wadau wa habari wamependekeza mabadiliko kwenye vifungu kadhaa ikiwemo kuondoa suala la Kashfa kwenye jinai, kuongeza muda wa leseni ili kuvutia uwekezaji, kutafsiri suala la Uchochezi, na kuondoa nguvu ya serikali kuingiria uhuru wa wahariri.

Nape ambaye alikuwepo wakatia sheria hiyo inaundwa mwaka 2016, ameahidi kuwa hahitaji kukosea tena kuhusu sheria hii ambayo tayari mapendekezo wameyapokea na baadhi yameshafanyiwa kazi.
Huyu maadili yake yamepigwa na dhoruba la nchi kavu, majini, hewani na katika ulimwengu wa roho ambapo suluhisho lake ni herufi zifuatazo
1. CHTO
2. SGD
3. LD
4. MU
 
Yeye hategemei kukosea tena, kumbe alikosea wakati ule, hivyo kakiri kukosa

Imani imenipotea kuhusu Nape, tunajuaje sisi, data zenyewe zimekuwa ghali mno, akosee mara ngapi?
 
Back
Top Bottom