EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Kwa uongo wa Nape anastahili kuwa msemaji wa timu za mpira pekee.Kama kuna wapuuzi wa kubwa ndani ya serikali ni huyu jamaa, huyu ilibidi abaki kama team ya propaganda tu katika chama, hakupaswa kuwa ndani ya serikali.