Nape: Rais Samia alinikataza kujibizana na Watu Mitandaoni

Sasa hata mama kakuambia acha mipasho. Unapenda mambo ya kujibizana mzee wa oil chafu
Ona ulivoingia aibu hata kwenye msiba wa mzee Lowasa. Ulikua baridiiiiii sababu ya mipasho.
Sasa bila aibu eti unawaambia watu huo ugoro. Aibu yako
 
Ye muda mwingi alikuwa anautumia mitandaoni kutukanana ba watu, sio kujibizana.
 
Bora alivyomdhibiti maana Nape alikuwa ana majibu ya hovyo sana Tena ya kishamba
 

Unaenda mbali sana Mkuu, zoezi la anwani, waliita post code liliishia wapi?
 
Yaani kwa akili zako NAPE ulifikiri kujibizana kungekusaidia nini!?

Viongozi wa aina yako yawezekana uongozi siyo karama kwenu.
 
Yooooo nimesikiliza hotuba mbili za PM,wakati wa kuipokea ndege na Clouds tv ,jina la Dr.Samia amelitaja zaidi ya mara 20,je it's necessary?mtu anatukuzwa kama semi God!nchi inahitaji TAASISI IMARA na sio strong state person
Taasisi zipo,sema watu wake wengi siyo imara!!
 
Na, huyu jamaa ni kubwa, jinga tu, yaani huna busara ya, kujua kujibishanq na watu iwe hadharani au mitandaoni ni ujinga,
 
Huyu Nape Nnauye ana wenge sana
 
Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…