johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.
Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"
Maendeleo hayana vyama
Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"
Maendeleo hayana vyama