othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Nape tangu atolewe manati hadharani amekuwa kama sponji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amwambie bosi wake maana ndiyo anaongoza kwa chukiAliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.
Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"
Maendeleo hayana vyama!
Kama huoni wa kuleta mabadiliko unayoyatamani. Kwanini usiyaongoze wewe ?!.mjomba hizo hasira zako hazisaidii maana una hasira mpaka unapoteza muelekeo lazima itakua umekosa mengi sana kwenye huu utawala. Unakataa mpaka ukweli, kuna kitu gani hujakielewa hapa? Pamoja na kwamba nataka sana mabadiliko lakini siona kabisa nani wa kuleta mabadiliko. Na sipo tayari kuona tunajaribisha watu kwenye kuiongoza Tanzania (ref: Nyerere : Hatuweki watu kwa majaribio) Unaowapigia debe hawana uwezo wa kuongoza kama walivyo CCM hatutaki kufanya majaribio kama ya Zambia na Freddy Chiluba
CHUKUA LIKIZO KAMA RAFIKI YAKO JINGA LAO Maana kasifia mpaka kaona hakuna msaada kaamua kuka kimya
Yeani ni bonge la mnafikiKwamba chalii anajiona nae ni mkubwa,baada ya ile simu ya kusema Magu ni mshamba then mkewe kule bank nae akapigwa pini fasta tu akaambiwa tunafuatilia namna mkeo alivyopata ajira hapa.
Kajamaa kakaona bora nile matapishi tu,akatembezwa makusudi kuanzia kule getini kule ikulu huku camera zikim-record fresh.
Kajamaa kakamwambia Magu, Baba nisamehe baba Magu nae akajibu Nape ni kijana wangu nimemsamehe lkn kusamehe kunauma jamani,hahahah
Sasa kama alisamehewa kweli hilo suala jingine.View attachment 1539811
Kila mtu kwenye hii nchi anamuogopa Magufuli...Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.
Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"
Maendeleo hayana vyama!
Namshangaa. Tangu lini Nepi a.k.a Vuvuzela akawa mkubwaHuyo naye anajiona mkubwa?
Duh mjomba upo na akili timamu na majibu haya umelifikiria ama una jazba za kiitikadi kama wenzako wa CDM na CCM? Mimi binafsi siyo mwanachama wa chama chochote na wala siishi Tanzania lakini ni Mtanzania ambaye nina ndugu na jamaa wanaoishi hapo Tanzania na nina haki ya kutoa maoni yangu kama wewe ulivyo. Kwahiyo kutoa maoni siyo lazima niwe mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote. ILA SIONI MTU YEYOTE HASA HUKO UPINZANI AMBAYE ANA HUO UWEZO WA KULIONGOZA HILI TAIFA LA MWALIMU NYERERE. NINAWAONA WAROHO WA MADARAKA NA WACHUMIA TUMBO TU WAMEJAA HUKO. NA KWA CCM UKIMTOA MAGUFULI NA BAADHI YA WACHACHE NAKO KUMEJAA WAPIGA DEAL. HIVYO KAMA NILIVYOSEMA NAMUUNGA MKONO NGOSHA TATIZO LANGU KWA NGOSHA NI KUWANYIMA NAFASI WAPINZANI. Maana Uhuru wa maoni ni mzuri kumsaidia yeye aongoze vizuri. Lakini mengine yote ya kuwabana watu kama ninyi mliozoea kupiga ma deal namuunga mkono.Kama huoni wa kuleta mabadiliko unayoyatamani. Kwanini usiyaongoze wewe ?!.
Huo ni utetezi wa ki NAFIKI
Mtoto wa nje ya ndoa huyuYeani ni bonge la mnafiki
Kama ni wapiga dili ondoa Nyerere na labda Kawawa tu. Waliobaki wote ni hovyo, sema wanazidiana viwango.Duh mjomba upo na akili timamu na majibu haya umelifikiria ama una jazba za kiitikadi kama wenzako wa CDM na CCM? Mimi binafsi siyo mwanachama wa chama chochote na wala siishi Tanzania lakini ni Mtanzania ambaye nina ndugu na jamaa wanaoishi hapo Tanzania na nina haki ya kutoa maoni yangu kama wewe ulivyo. Kwahiyo kutoa maoni siyo lazima niwe mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote. ILA SIONI MTU YEYOTE HASA HUKO UPINZANI AMBAYE ANA HUO UWEZO WA KULIONGOZA HILI TAIFA LA MWALIMU NYERERE. NINAWAONA WAROHO WA MADARAKA NA WACHUMIA TUMBO TU WAMEJAA HUKO. NA KWA CCM UKIMTOA MAGUFULI NA BAADHI YA WACHACHE NAKO KUMEJAA WAPIGA DEAL. HIVYO KAMA NILIVYOSEMA NAMUUNGA MKONO NGOSHA TATIZO LANGU KWA NGOSHA NI KUWANYIMA NAFASI WAPINZANI. Maana Uhuru wa maoni ni mzuri kumsaidia yeye aongoze vizuri. Lakini mengine yote ya kuwabana watu kama ninyi mliozoea kupiga ma deal namuunga mkono.
Kwani alichoongea ni uongo?Nape ana akili butu sana
Kwamba chalii anajiona nae ni mkubwa,baada ya ile simu ya kusema Magu ni mshamba then mkewe kule bank nae akapigwa pini fasta tu akaambiwa tunafuatilia namna mkeo alivyopata ajira hapa.
Kajamaa kakaona bora nile matapishi tu,akatembezwa makusudi kuanzia kule getini kule ikulu huku camera zikim-record fresh.
Kajamaa kakamwambia Magu, Baba nisamehe baba Magu nae akajibu Nape ni kijana wangu nimemsamehe lkn kusamehe kunauma jamani,hahahah
Sasa kama alisamehewa kweli hilo suala jingine.View attachment 1539811
Duh mjomba upo na akili timamu na majibu haya umelifikiria ama una jazba za kiitikadi kama wenzako wa CDM na CCM? Mimi binafsi siyo mwanachama wa chama chochote na wala siishi Tanzania lakini ni Mtanzania ambaye nina ndugu na jamaa wanaoishi hapo Tanzania na nina haki ya kutoa maoni yangu kama wewe ulivyo. Kwahiyo kutoa maoni siyo lazima niwe mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote. ILA SIONI MTU YEYOTE HASA HUKO UPINZANI AMBAYE ANA HUO UWEZO WA KULIONGOZA HILI TAIFA LA MWALIMU NYERERE. NINAWAONA WAROHO WA MADARAKA NA WACHUMIA TUMBO TU WAMEJAA HUKO. NA KWA CCM UKIMTOA MAGUFULI NA BAADHI YA WACHACHE NAKO KUMEJAA WAPIGA DEAL. HIVYO KAMA NILIVYOSEMA NAMUUNGA MKONO NGOSHA TATIZO LANGU KWA NGOSHA NI KUWANYIMA NAFASI WAPINZANI. Maana Uhuru wa maoni ni mzuri kumsaidia yeye aongoze vizuri. Lakini mengine yote ya kuwabana watu kama ninyi mliozoea kupiga ma deal namuunga mkono.
Walishamalizana bwashee!Kwa huo ukubwa wake ndo mana akamtukana Magufuli?
Nape yupo sahihi,hakuna haja ya kuzozana baada ya uchaguzi.Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.
Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"
Maendeleo hayana vyama!
Waeleze hao wasanii 200Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.
Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"
Maendeleo hayana vyama!