Nape: Uchaguzi ukiisha wakubwa tunakaa na kumalizana ila wapambe ndio hutaka kutoana roho

Nape: Uchaguzi ukiisha wakubwa tunakaa na kumalizana ila wapambe ndio hutaka kutoana roho

Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.

Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"

Maendeleo hayana vyama!
Amwambie bosi wake maana ndiyo anaongoza kwa chuki
 
mjomba hizo hasira zako hazisaidii maana una hasira mpaka unapoteza muelekeo lazima itakua umekosa mengi sana kwenye huu utawala. Unakataa mpaka ukweli, kuna kitu gani hujakielewa hapa? Pamoja na kwamba nataka sana mabadiliko lakini siona kabisa nani wa kuleta mabadiliko. Na sipo tayari kuona tunajaribisha watu kwenye kuiongoza Tanzania (ref: Nyerere : Hatuweki watu kwa majaribio) Unaowapigia debe hawana uwezo wa kuongoza kama walivyo CCM hatutaki kufanya majaribio kama ya Zambia na Freddy Chiluba

CHUKUA LIKIZO KAMA RAFIKI YAKO JINGA LAO Maana kasifia mpaka kaona hakuna msaada kaamua kuka kimya
Kama huoni wa kuleta mabadiliko unayoyatamani. Kwanini usiyaongoze wewe ?!.
Huo ni utetezi wa ki NAFIKI
 
Kwamba chalii anajiona nae ni mkubwa,baada ya ile simu ya kusema Magu ni mshamba then mkewe kule bank nae akapigwa pini fasta tu akaambiwa tunafuatilia namna mkeo alivyopata ajira hapa.

Kajamaa kakaona bora nile matapishi tu,akatembezwa makusudi kuanzia kule getini kule ikulu huku camera zikim-record fresh.

Kajamaa kakamwambia Magu, Baba nisamehe baba Magu nae akajibu Nape ni kijana wangu nimemsamehe lkn kusamehe kunauma jamani,hahahah

Sasa kama alisamehewa kweli hilo suala jingine.View attachment 1539811
Yeani ni bonge la mnafiki
 
Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.

Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"

Maendeleo hayana vyama!
Kila mtu kwenye hii nchi anamuogopa Magufuli...

Wanasiasa,hasa wa CCM humo ndani wanamuogopa ZAIDI!

I wonder if this will bring any health to this Tanzanian society!

This will be dentrimental to Magufuli himself,big time!
 
Kama huoni wa kuleta mabadiliko unayoyatamani. Kwanini usiyaongoze wewe ?!.
Huo ni utetezi wa ki NAFIKI
Duh mjomba upo na akili timamu na majibu haya umelifikiria ama una jazba za kiitikadi kama wenzako wa CDM na CCM? Mimi binafsi siyo mwanachama wa chama chochote na wala siishi Tanzania lakini ni Mtanzania ambaye nina ndugu na jamaa wanaoishi hapo Tanzania na nina haki ya kutoa maoni yangu kama wewe ulivyo. Kwahiyo kutoa maoni siyo lazima niwe mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote. ILA SIONI MTU YEYOTE HASA HUKO UPINZANI AMBAYE ANA HUO UWEZO WA KULIONGOZA HILI TAIFA LA MWALIMU NYERERE. NINAWAONA WAROHO WA MADARAKA NA WACHUMIA TUMBO TU WAMEJAA HUKO. NA KWA CCM UKIMTOA MAGUFULI NA BAADHI YA WACHACHE NAKO KUMEJAA WAPIGA DEAL. HIVYO KAMA NILIVYOSEMA NAMUUNGA MKONO NGOSHA TATIZO LANGU KWA NGOSHA NI KUWANYIMA NAFASI WAPINZANI. Maana Uhuru wa maoni ni mzuri kumsaidia yeye aongoze vizuri. Lakini mengine yote ya kuwabana watu kama ninyi mliozoea kupiga ma deal namuunga mkono.
 
Duh mjomba upo na akili timamu na majibu haya umelifikiria ama una jazba za kiitikadi kama wenzako wa CDM na CCM? Mimi binafsi siyo mwanachama wa chama chochote na wala siishi Tanzania lakini ni Mtanzania ambaye nina ndugu na jamaa wanaoishi hapo Tanzania na nina haki ya kutoa maoni yangu kama wewe ulivyo. Kwahiyo kutoa maoni siyo lazima niwe mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote. ILA SIONI MTU YEYOTE HASA HUKO UPINZANI AMBAYE ANA HUO UWEZO WA KULIONGOZA HILI TAIFA LA MWALIMU NYERERE. NINAWAONA WAROHO WA MADARAKA NA WACHUMIA TUMBO TU WAMEJAA HUKO. NA KWA CCM UKIMTOA MAGUFULI NA BAADHI YA WACHACHE NAKO KUMEJAA WAPIGA DEAL. HIVYO KAMA NILIVYOSEMA NAMUUNGA MKONO NGOSHA TATIZO LANGU KWA NGOSHA NI KUWANYIMA NAFASI WAPINZANI. Maana Uhuru wa maoni ni mzuri kumsaidia yeye aongoze vizuri. Lakini mengine yote ya kuwabana watu kama ninyi mliozoea kupiga ma deal namuunga mkono.
Kama ni wapiga dili ondoa Nyerere na labda Kawawa tu. Waliobaki wote ni hovyo, sema wanazidiana viwango.
 
Shida hamuwaambii hao wanachama wenu nyie wakubwa mnayamaliza vipi...

Kama ni kupeana asante...zitawanyeni hadi kwa wananchi.
 
Kwamba chalii anajiona nae ni mkubwa,baada ya ile simu ya kusema Magu ni mshamba then mkewe kule bank nae akapigwa pini fasta tu akaambiwa tunafuatilia namna mkeo alivyopata ajira hapa.

Kajamaa kakaona bora nile matapishi tu,akatembezwa makusudi kuanzia kule getini kule ikulu huku camera zikim-record fresh.

Kajamaa kakamwambia Magu, Baba nisamehe baba Magu nae akajibu Nape ni kijana wangu nimemsamehe lkn kusamehe kunauma jamani,hahahah

Sasa kama alisamehewa kweli hilo suala jingine.View attachment 1539811

Watu husema "mwaga mboga nimwage ugali".

Lakini jamaa akenda pale akamwaga mboga na ugali vote kwa pamoja.

Hao anaowaita "wapambe" anawalenga watu fulani.

Tena kutoka kwenye masufuria yale makubwa ya aina yake.
 
Duh mjomba upo na akili timamu na majibu haya umelifikiria ama una jazba za kiitikadi kama wenzako wa CDM na CCM? Mimi binafsi siyo mwanachama wa chama chochote na wala siishi Tanzania lakini ni Mtanzania ambaye nina ndugu na jamaa wanaoishi hapo Tanzania na nina haki ya kutoa maoni yangu kama wewe ulivyo. Kwahiyo kutoa maoni siyo lazima niwe mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote. ILA SIONI MTU YEYOTE HASA HUKO UPINZANI AMBAYE ANA HUO UWEZO WA KULIONGOZA HILI TAIFA LA MWALIMU NYERERE. NINAWAONA WAROHO WA MADARAKA NA WACHUMIA TUMBO TU WAMEJAA HUKO. NA KWA CCM UKIMTOA MAGUFULI NA BAADHI YA WACHACHE NAKO KUMEJAA WAPIGA DEAL. HIVYO KAMA NILIVYOSEMA NAMUUNGA MKONO NGOSHA TATIZO LANGU KWA NGOSHA NI KUWANYIMA NAFASI WAPINZANI. Maana Uhuru wa maoni ni mzuri kumsaidia yeye aongoze vizuri. Lakini mengine yote ya kuwabana watu kama ninyi mliozoea kupiga ma deal namuunga mkono.

Hao hao wachumia tumbo ni bora kuliko kutawaliwa na chama kimoja hatuwezi hata kuwa na mlinganisho ni vema tuone hao wachumia tumbo nao watatupeleka wapi maana nchi hakuna mwenye hati miliki wapiga kura ndo watamuwa nani awatawale bila kujali wengine wanaonekana wachumia tumbo watapimwa kwa sera zao
 
Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.

Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"

Maendeleo hayana vyama!
Nape yupo sahihi,hakuna haja ya kuzozana baada ya uchaguzi.
Mzee Bulembo na Zitto wazingatie hayo baada ya October 2020,yanawahusu.
 
Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.

Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"

Maendeleo hayana vyama!
Waeleze hao wasanii 200

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom