Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 791
- 405
Nape ni mdogo kama babakoSasa Nape ni mdogo?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nape ni mdogo kama babakoSasa Nape ni mdogo?
Hata nami nimeshangaa Nape kujiita mkubwa!Huyo naye anajiona mkubwa?
Kwanza hana adabu alimtukana JPM kwenye simu anadhani JPM kasahau eh?
Kama pirtonSasa Nape ni mdogo?
Aliyoyasema ni haya haya unayoyafanya, Magufuli hadi mpaka anatamani kumuoza mwanae.Huyo naye anajiona mkubwa?
Kwanza hana adabu alimtukana JPM kwenye simu anadhani JPM kasahau eh?
Huyo huwa anasema chochote kulingana na mzuka wa sekunde hiyo, umesahau yule aliyempa jogoo alitaka kumuoza nani?Aliyoyasema ni haya haya unayoyafanya, Magufuli hadi mpaka anatamani kumuoza mwanae.
Mwenyekiti huwa hamalizani kirahisi hivyoWalishamalizana bwashee!
Mbona kachomolewa uwaziri kama wanamalizana?Aliyekuwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameandika katika akaunti yake ya twitter kuwa uchaguzi ukiisha wakubwa hukaa na kumalizana ila kazi inabaki kwa wapambe ambao hupiga mikelele kiasi cha kutaka kutoana roho.
Nape anasema " Kuna maisha baada ya Siasa hivyo tupende na kuchukia kwa kiasi"
Maendeleo hayana vyama