Nape: Uchaguzi ukiisha wakubwa tunakaa na kumalizana ila wapambe ndio hutaka kutoana roho

Ila Nape Safari hii lazima aliwe kichwa kwa kumtia adabu tu
 
..hili jambo Jpm hakulifanya.

..na hana busara ya kulifanya.

..yeye uchaguzi ulipoisha akaanza kuwashughulikia wana-cdm.

..akawa anajiapiza kuufuta upinzani ktk ramani ya siasa za Tz.
 
Tatizo la hawa Overpaid Underperforming Prima Donnas ndio hili.... Yaani wanajiona wao ndio wakubwa ? (wakubwa wenye wapambe)..., Hivi zile theory kwamba kiongozi ni mtumishi wa watu (yaani watu ndio wamemuajiri) sijui umeishia wapi..
 
Mbona kachomolewa uwaziri kama wanamalizana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…