Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama walivyofanyiwa Ramadhan Ntuzwe, St Jude.....kwako hiyo ni sawa kabisa, kwako bora pesa ipatikane tu.Kodi inatakiwa ukusanye kwa Nguvu wabongo hawaendi kwa barua utamaliza Rimu ya barua na hakuna kodi kubwa kodi nyingi ni adhabu watu wana default sheria za kodi
Task force ilioingizwa humo ndio hiyo inayotumika kuwalazimisha wenye taaluma yao kuku sanya kodi kwa mabavu kinyume na taaluma yao.Task force ina wataalamu wa kodi toka wapi?
Hicho ndicho chombo kinachotumiwa na mtu mmoja kuwalazimisha wenye taaluma zao kukusanya kodi bila kutumia taaluma zao.Polisi anataalumu ya kukusanya kodi?
Quite correct,ndio maana hata kwenye makinikia tuliaminishwa Noah tukaambulia guta
Unakuta mkuu wa wilaya anakagua mashine za efd.
Nape kanena ukweli!
Hata guta hatujapata, tumepata baskel ya miti
Jamani msisikie mtaani kuna njaa kali..machinga anakaa hadi siku tano hajauza hata pair moja ya soksi au kiwembe
Sheria ambayo haiendani na matakwa ya biashara ndugu yangu,Swali la kujiuliza hivi wakusanya kodi wanakusanya kwa kutumia nini si sheria ndiyo wanayotumia na wanaotunga hizo sheria ni kina nani?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ukisoma sheria zinazosimamiwa na watoza kodi kila kitu kipo wazi wao kazi yao ni kufata sheria ilivyosema ndiyo maana wakienda nje ya utaratibu au matakwa ya sheria wanashitakiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata ya miti tumekosa tumeambulia Nyungu
Wapinzani walisema sana haya mkaona wanachelewesha maendeleo!Unakuta mkuu wa wilaya anakagua mashine za efd.
Nape kanena ukweli!
Wapinzani wenyewe hawa akina Halima Mdee na wenzake?!Wapinzani walisema sana haya mkaona wanachelewesha maendeleo!
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema kuna changamoto kubwa ya biashara nyingi kufungwa na hili ni kutokana na Serikali kutotumia Wanataaluma katika kukusanya kodi.
Mafanikio yanayofurahiwa sasa kwenye mapato ni ya muda mfupi lakini itafika wakati hakutakuwa na cha kukusanya. Asema baadhi ya Wafanyabiashara wanatishwa kwa mashtaka ya Uhujumu #Uchumi hivyo huamua kufunga biashara.
Kwani task force ndio TRA... Kwa sasa kodi inakusanywa na taasisi nyingi, nafikiri ndizo zilizomaanishwa hapoHaya tusubiri kuona kama bwana atafurahishwa na haya. TAL alishasema haya kitambo na watu hawahawa wakamubishia. Sasa wanakiri kuwa TRA inatafuna biashara.
Saa nyingine muwe mnakaa kimya mkiona watu wanaongea mambo ya msingiKodi inatakiwa ukusanye kwa Nguvu wabongo hawaendi kwa barua utamaliza Rimu ya barua na hakuna kodi kubwa kodi nyingi ni adhabu watu wana default sheria za kodi
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema kuna changamoto kubwa ya biashara nyingi kufungwa na hili ni kutokana na Serikali kutotumia Wanataaluma katika kukusanya kodi.
Mafanikio yanayofurahiwa sasa kwenye mapato ni ya muda mfupi lakini itafika wakati hakutakuwa na cha kukusanya. Asema baadhi ya Wafanyabiashara wanatishwa kwa mashtaka ya Uhujumu #Uchumi hivyo huamua kufunga biashara.