sasa mbona tunalalamika tu, ..tutizame kwa jicho la pili..!
kwanza niseme mh waziri yuko sahihi kuhudhuria hiyo hafla maana alialikwa tena kwa special request na akaangalia timetable yake akaona wizara yake haikuwa na maswali ya kujibu bungeni, kwa hiyo akaona aende kutoa support kwa msaani wema sepetu ukizingatia yeye ndie waziri wa habari,utamaduni na michezo.,hayo maneno yakusema ameacha kwenda bungeni kwa sababu ya hafla hiyo na maneno mengine nadhani ilikuwa ni kama kunogesha sherehe, si unajua tena wanasiasa maneno mengi...sijaona kosa la mh Nape hapo
kina millardayo na jf na wengine sijawahi kusikia wamehitisha hafla kwa ajili ya kuzindua au hafla zozote wakamualika mh waziri akakataa kwenda!
acheni hizo fikra za kukosoa kila kitu kama za ukawa
let us be a little bit positive!
Mimi wema sepetu naskia tu kwani ana kazi gani?