Napeleka Mahari Missenyi, Kagera!

Napeleka Mahari Missenyi, Kagera!

Nimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Pole kuoa muhaya sawa kunywa maji ya ukidhani utapona.wanawake wa kihaya wana ujeri wa kijinga mmoja nimekaaa naye kilicho nikuta siwezi sahau katika maisha yangu
 
badala uoe kwenu uwape wanawake wa kwenu motisha unaenda saidia kwa wasiokujua achilia mbali kukuhitaji?

akili au matope haya?

na usiniletee blah blah za "nimependa" nonsense
Umepaniki?
 
Hawana makufuli.'Ukenda' uhayani utatembeza ukuni mpaka uchoke kuhusu kutongoza,ukataliwe hiyo sahau kila utupiapo ndoano unapata samaki.Wahaya hawana tofauti na watoto wa Kiiraq/kimbulu kule Manyara na Arusha.

Takataka kabisa!![emoji1]
Takataka tena! Badala ya kusema ni wakarimu kwani ukiomba unapewa.
 
nikupanikie unanilipa?

im just appalled na your stupidity,basi!

Nikupanikie una la maana kichwani basi au mavi tu?

relax,bado umechanganyikiwa na "mahari" as if umewatendea mema sana wanawake wa kwenu waliokuzaa na kukutunza still umeona hawakufai

upo hapa unatoa mimacho as if umefanya a very crucial decision in the world no one has ever done!

Yaani u are a hero vile for this stupidity!
Dada punguza jazba
 
Back
Top Bottom