Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaguna tena
Nimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Japo Shemeji zangu inaonekana Mashauzi Sana. Napewa yote
View attachment 2062648
Apige Show Nzuri, Asisahau JadiHakikisha godoro mtakalolalia liwe na makaratasi ya nailoni, na usisahau Katerero asije akaenda kuitafuta kwa wanaojua ndoa ikakuwia ngumu
HaaPeleka kote ila usipeleke Kyaka.. hakuna mke pale..
Tunamwelekeza ajue mapema baadaye asije akaleta malalamikoApige Show Nzuri, Asisahau Jadi
Baadaye Atalala Oops Sijafurahi Atekeleze JadiTunamwelekeza ajue mapema baadaye asije akaleta malalamiko
Pole kuoa muhaya sawa kunywa maji ya ukidhani utapona.wanawake wa kihaya wana ujeri wa kijinga mmoja nimekaaa naye kilicho nikuta siwezi sahau katika maisha yanguNimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Achana naye mkuu mlopokaji tu uyoo hajui chochote nae si muhayaHela zipi unazosema wewe unayajua maisha yangu
Hongera sana kajichkulie katerero yakoNimepata mchumba toka Missenyi, Kagera. Na kesho naanza safari kuelekea huko. Maombi yenu! Japo Shemeji zangu inaonekana Mashauzi Sana. Napewa yote
View attachment 2062648
Takataka tena! Badala ya kusema ni wakarimu kwani ukiomba unapewa.Hawana makufuli.'Ukenda' uhayani utatembeza ukuni mpaka uchoke kuhusu kutongoza,ukataliwe hiyo sahau kila utupiapo ndoano unapata samaki.Wahaya hawana tofauti na watoto wa Kiiraq/kimbulu kule Manyara na Arusha.
Takataka kabisa!![emoji1]
Dada punguza jazbanikupanikie unanilipa?
im just appalled na your stupidity,basi!
Nikupanikie una la maana kichwani basi au mavi tu?
relax,bado umechanganyikiwa na "mahari" as if umewatendea mema sana wanawake wa kwenu waliokuzaa na kukutunza still umeona hawakufai
upo hapa unatoa mimacho as if umefanya a very crucial decision in the world no one has ever done!
Yaani u are a hero vile for this stupidity!
Wanaume wa makabila mengi wako hivyoSio kweli Mzee. Wanawake wa kihaya wanaolewa na makabila mengine tofauti na wahaya wenzao. Kiufupi ni ngumu mwanaume mhaya ambaye ameshasafiri huko na huko kurudi kumuoa mhaya mwenzie.
Kwel kbs jamaa yupo yupo tu hat haelew anapoelekea n wapAchana naye mkuu mlopokaji tu uyoo hajui chochote nae si muhaya