connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
- Thread starter
- #201
Kwa ukuni mwenyewe anaridhika Sana.Hongera mkuu usitishike na maneno ya watu, muhimu umpende na kumheshimu hakikisha unampiga ukuni kisawasawa usimuonee huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ukuni mwenyewe anaridhika Sana.Hongera mkuu usitishike na maneno ya watu, muhimu umpende na kumheshimu hakikisha unampiga ukuni kisawasawa usimuonee huruma.
🤣 🤣 watu wa mjini mna matatizo sana ulikuwa unasubiria chips yai na soda?Huwa siwaamini kufanya nao project ya aina yoyote iwe ya kufyatua watoto au hata za kibiashara siwaamini.
Ni watu fulani makauzu sana unaweza kufikiri wote wanavuta bangi,wewe imagine mtu ametoa milioni 2 halafu wanapika makande na hawajishtukii kabisa wamekausha tu.
Hongera hiyo ndio habari yenyewe mkuuKwa ukuni mwenyewe anaridhika Sana.
Ubaya upo sana.Kuna ubaya gani mtu akiweka pesa Mbele kabla ya penzi? We ulitaka bure?
[emoji1787] [emoji1787] watu wa mjini mna matatizo sana ulikuwa unasubiria chips yai na soda?
Tafuta dera kama Huna helaUbaya upo sana.
Mapenzi sio biashara.
Haukuzaliwa na uchi ili uuze.
Imagine binadamu wa kwanza(eva/hawa) angekuwa anawaza pesa tu sisi tungezaliwaje
Tafuta dera kama Huna hela
Weekend Kama hii tunajifungia ndani Ni show tukichoka Ni kuoga, kula show tenaHongera hiyo ndio habari yenyewe mkuu
Wenye hela hawaongei ubahili-bahiliHela niko nazo ila sio kwa ajili ya kununua uchi wako.
Si bora uende buguruni tu au shivaz ukasimame pembeni ya barabara tujue moja
Wenye hela hawaongei ubahili-bahili
Kaka nakuomba ueleze. Kama utashindwa kuelezea hapa basi njoo hata PM. Utakuwa umetusaidia sana vijana ambao bado hatujaoa.Uzi kama huu ulifutwa baada ya watu hasa mm kufunguka kuhusu masaibu ya baadhi ya hawa watu,naona umeuleta kivingine ila sitachangia chochote kwa kwa sababu huwa nikisikia au kuona jambo lolote kuhusu hawa watu najisikia vibaya sana kwa niliyotendwa.
Hiyo ID duh!!!Hongera hiyo ndio habari yenyewe mkuu
Kwasababu wanawake wa kichaga wengi sio Wahuni / Malaya, wanapenda sana dini yao ya kikristo na madhehebu ya Roman Catholic na Lutheran.Kweli. Harusi nyingi jijini mabibi harusi toka Uchagani. Sijajua sababu n nn
😂😂😂😂 Mke Mchumi kwa asili.. Financial Analyst & Economist by Nature (Genes).Hongera kwa kupata mke mchumi(kwa asili)
😂😂😂😂😂😂😂😂Asije kua demu wangu wa zamani tu...hapo masandare mademu tumewala sanaa tulio soma same sec
😂😂😂😂Mmh wanafunzi mlienda kusoma au kutafuta mademu?
Si dhambi kuiga mambo mazuri kutoka kwa wachaga.Wachaga ni watu wa kusaka fursa kwa lazima tofauti na makabila mengine ambao hawatumii maguvu mengi ila husubiria wakati ufike