Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Kiufupi mie katika makabila yoote ya kanda ya kaskazini (wachaga, wapare, wameru, wamaasai, wamburu, wairaq,)...ni kabila moja tu ndo naweza shauri mtu akaoe huko nao ni wamaasai pekee.....hawa watu nimeishi nao sana na wanawake wa kimaasai wana mapenzi ya dhati yasiyoangalia mali anazomiliki mwanaume na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Ukimpata msichana wa kimaasai mkapendana wewe mwenyewe utaenjoy....sio hizo mbwa za hayo makabila mengine!!!
Kiufupi nimeishi kaskazini miaka takribani 17...hivyo nawafahamu fika watu wa huko. Wanawake wa kaskazini ni Malaya sana and they date and fuuck for money. Ukiwa na pesa mambo yataenda vizuri ila ukifirisika hakuna rangi utaacha ona!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mbona wachaga ndio wanaongozwa kwa kuolewa?

Hizi data zako ni za kipumbavu.
Nenda kwenye page za insta za ma MC kaangalie wanaoolewa.

Data zako zingekuwa ni za kweli wangeolewa wamakonde tu kabila lako
 
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Husitusumbue, sasa unatuambia ili iweje sheikh?
 
Wewe hauwezi jua mapungufu ya dada zako kaa utulie, mie mwenyewe mapungufu ya dada zangu siya fahamu.
Wadada wa kipare wakisikia fulani anapiga mashine sana, wanataka wajaribu wahakikishe....sasa uhuni hawawezi kufanya mbele yenu baadhi yao.
Wacha porojo
 
Hayo maoni yako mkuu, mie naongea kitu nilicho kishuhudia....jamaa mmoja kaoa mpare na mwingine kaoa mrombo.
1. Aliyeoa mpare tunapoongea hapa demu kakimbia kaacha jamaa anazeeka tuu, huyu simtaji jina alikua mtu wa kati sana katika biashara za wakubwa, wakati wa Mzee wa Msoga.
2. Jamaa alioa mrombo bata sana, baadae upepo ukayumba, alikaa benchi miaka mitano, akawa mlevi full of stress ila mkewe hadi vibarua alifanya ili maisha yaendelee, sasa hivi amemnunulia mkewe mashine ya kufyatua tofali ya kisasa kama asante.
sasa warombo ni wapare?
Inawezekana tunaelewesha watu ambao hawajui wapare wanatokea wapi.
Anajua labda wanatokea karagwe au kisimundu
 
Hayo maoni yako mkuu, mie naongea kitu nilicho kishuhudia....jamaa mmoja kaoa mpare na mwingine kaoa mrombo.
1. Aliyeoa mpare tunapoongea hapa demu kakimbia kaacha jamaa anazeeka tuu, huyu simtaji jina alikua mtu wa kati sana katika biashara za wakubwa, wakati wa Mzee wa Msoga.
2. Jamaa alioa mrombo bata sana, baadae upepo ukayumba, alikaa benchi miaka mitano, akawa mlevi full of stress ila mkewe hadi vibarua alifanya ili maisha yaendelee, sasa hivi amemnunulia mkewe mashine ya kufyatua tofali ya kisasa kama asante.
Naunga mkono hoja hawa warombo kiukweli wapo powa sana uwezi fananisha na wengine wana staa kidogo kwenye ndoa
 
sasa warombo ni wapare?
Inawezekana tunaelewesha watu ambao hawajui wapare wanatokea wapi.
Anajua labda wanatokea karagwe au kisimundu
Ahahahah we jamaa umeona mchango huo tuu basi.
Dada zako wana tabia kama ya Mange.
 
Back
Top Bottom