Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Wakuu Nimefika Masandare Ni kijiji tulivu kabisa japo Kuna ukame Sana. Sasa Kilichonishangaza nilidaiwa hela ya kugharamia sherehe ya Leo nikatuma 2m Tsh. Kwa M-PESA wiki iliyopita. Sasa hapa Nashangaa msosi wanatuletea Makande na kinywaji Azam Cola. Daah! Ndugu zangu niliongozana nao wanasitika Sana. Mshenga kaniita chemba kuwa nisipaniki Wala kuleta vurugu ukweni.
Hio inaitwa Pu-Re hahahah main dish ya upareni😂😂🤣
 
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.

Kabla hujapeleka mahari, uage kabisa famiia yako kwa kuwa hakuna atakayekaribishwa nyumbani kwako. Ufanyiwe fairwell kwa kuwa hakuna ndugu utakuwa na mahusiano naye ya uhuru na upendo tena kwa maana si wazazi wako, dada kaka wala jamaa yeyote kutoka kwenu.

Hakuna rafiki wala ndugu atakuja kula chakula kwako.

Hakuna ndugu utamsaidia katika shida zake.

Hautakuwa na uhuru wa wazi na mali zozote za familia yako, labda ufanye kificho sana.

Hao ndio wanawake wa Kipare

Mhhhhhhhhhh, hapo umejitundika mtu wangu.

Utanikumbuka kwama Mtu ni Utu na si Sura!.

Kwa heri.
 
Mi mpare ila hizi tabia za hawa wapare mnazioneaga wapi?
Wapare Ninaowajua wengi wamekula kitabu sana na wasabato wa kufa mtu
Mi pia nashangaa, huenda labda ni wale ambao wako less exposed aidha kijijini na hii ni kwa kabila zote ila mpare aliozaliwa na kukulia mjini haezi kuwa na tabia za kipuuzi namna hio.
 
Kwa hip Tanzania nzima wapare tu ndio wanafanya hivi?

Kuwa na tabia zozote za kishetani hakuhalalishwi kwa kuwa kuna wengine wanafanya. Kila anayefanya hayo ni shetani. Na hata kama wanafanya wengi, haimpunguzii maumivu muhanga. Wapare ndivyo walivyo na wanajulilkana hasa. Huwezi kuhalaisha uchawi eti kwa kuwa wachawi ni wengi. Nonsense!.
 
Mi pia nashangaa, huenda labda ni wale ambao wako less exposed aidha kijijini na hii ni kwa kabila zote ila mpare aliozaliwa na kukulia mjini haezi kuwa na tabia za kipuuzi namna hio.

Tumezaliwa nao, tumekua nao, tumesoma nao, tunaishi nao mitaani, biasharani, tunafanya nao kazi. Tunawafahamau kuliko wewe unayewaona kwa mbali. Lol!.
 
Kwa kuwa wewe ni malaya au ulioa malaya, unataka watu wote waoe malaya? Kama wewe ni Malaya ni wewe lakini bado kuna watu wasio malaya kama wewe na hao malaya wenzako unaowatetea kwa umalaya wao. Period!
Mbona povu limezidi bi. Tabu?😂😂😂!!!

Ukizungumzia umalaya kabila zote ni malaya tu usijitie utakatifu sababu kwa rate ya wauza kouma waliopo barabarani huenda wa kabila lako wakawa wengi kuzidi hata wapare.
 
Tumezaliwa nao, tumekua nao, tumesoma nao, tunaishi nao mitaani, biasharani, tunafanya nao kazi. Tunawafahamau kuliko wewe unayewaona kwa mbali. Lol!.
Sawa ila hujajibu swali, je wewe sio malaya au wachaga wenzio wote hawana tabia hiyo na sio washirikina?
 
Kuwa na tabia zozote za kishetani hakuhalalishwi kwa kuwa kuna wengine wanafanya. Kila anayefanya hayo ni shetani. Na hata kama wanafanya wengi, haimpunguzii maumivu muhanga. Wapare ndivyo walivyo na wanajulilkana hasa. Huwezi kuhalaisha uchawi eti kwa kuwa wachawi ni wengi. Nonsense!.
Wewe ni kabila gani?
 
Mi pia nashangaa, huenda labda ni wale ambao wako less exposed aidha kijijini na hii ni kwa kabila zote ila mpare aliozaliwa na kukulia mjini haezi kuwa na tabia za kipuuzi namna hio.
kuna tabia ambazo ni common.
Na kuna utani wa kimakabila.ssasa hawa mambo ya utani wa makabila wanayachukulia kuwa ndio tabia za makabila
 
Hahahah we wanawake utakuwa na ugeni nao bila shaka.
Hayo maoni yako mkuu, mie naongea kitu nilicho kishuhudia....jamaa mmoja kaoa mpare na mwingine kaoa mrombo.
1. Aliyeoa mpare tunapoongea hapa demu kakimbia kaacha jamaa anazeeka tuu, huyu simtaji jina alikua mtu wa kati sana katika biashara za wakubwa, wakati wa Mzee wa Msoga.
2. Jamaa alioa mrombo bata sana, baadae upepo ukayumba, alikaa benchi miaka mitano, akawa mlevi full of stress ila mkewe hadi vibarua alifanya ili maisha yaendelee, sasa hivi amemnunulia mkewe mashine ya kufyatua tofali ya kisasa kama asante.
 
Wewe wapare wenzio hawa wataki dada zao...
Nikiwemo mimi, demu wa kipare tu simtaki achilia mke! Wa kwanza from Himo alinifanya vibaya mno.

Wa pili from Ugweno alianza kuwa controlling nikakimbia chap, sikutaka shida wala.😂😂😂

Kuhusu Warombo ni sawa, huwa wengi ni loyal wives and ride or die! Hapo sibishi.
 
Back
Top Bottom