Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Nikiwemo mimi, demu wa kipare tu simtaki achilia mke! Wa kwanza from Himo alinifanya vibaya mno.

Wa pili from Ugweno alianza kuwa controlling nikakimbia chap, sikutaka shida wala.😂😂😂

Kuhusu Warombo ni sawa, huwa wengi ni loyal wives and ride or die! Hapo sibishi.
Mie wapare ni ndugu zangu kabisa na nimekaa huko, so nawajua tabia zao...ingawa kuna wengine safi sana yaani ukiambia huyu mpare una kataa.
 
Hata huelewi, huenda hata hujui. Nabishana vipi na wewe!!
Mkuu wewe una muda wa kubishana? hapa tunaeleweshana tuu...wapuuzi ndio huwa wanabishana.
Kuhusu jibu nililolitoa hapo nimelitoa kwa ujumla sijataka kuingia ndani kuelezea sana.
 
Mkuu wewe una muda wa kubishana? hapa tunaeleweshana tuu...wapuuzi ndio huwa wanabishana.
Kuhusu jibu nililolitoa hapo nimelitoa kwa ujumla sijataka kuingia ndani kuelezea sana.
Hembu nieleze pare ya wapi same inasifika kwa uchawi na ushirikina! Maana tusiongee bila ushahidi, kuhusu uhuni na umalaya wa wapare, hiyo kwa sasa huwezi ku single out kabila, imekuwa ni tabia ya jamii nzima.
 
Hembu nieleze pare ya wapi same inasifika kwa uchawi na ushirikina! Maana tusiongee bila ushahidi, kuhusu uhuni na umalaya wa wapare, hiyo kwa sasa huwezi ku single out kabila, imekuwa ni tabia ya jamii nzima.
Kabisa. Anataka kutuambia wahaya hakuna Malaya? Wazaramo!? Wadigo?
Ukiniambia hakuna mkurya Malaya nitakubali lakini hata hao wakurya wapi wanaogawa papuchi kama pipi tu
 
Hembu nieleze pare ya wapi same inasifika kwa uchawi na ushirikina! Maana tusiongee bila ushahidi, kuhusu uhuni na umalaya wa wapare, hiyo kwa sasa huwezi ku single out kabila, imekuwa ni tabia ya jamii nzima.
Huko Mwembe baradhani kuna magwiji, ni same hiyo...ila hapa hoja yangu ilikua inahusu wadada wa kipare kupenda chini.
 
Huko Mwembe baradhani kuna magwiji, ni same hiyo...ila hapa hoja yangu ilikua inahusu wadada wa kipare kupenda chini.
Niambie wadada wa kabila gani hawapendi chini, hizi hoja za ku generalize mambo sijui huwa mnazitoa wapi wakuu. Kupenda chini haina kabila kwa sasa, sio wanaume au wanawake kwa kiasi kikubwa watu wa sasa wanaendekeza umalaya.

Kwa hiyo unataka kusema wapare hawatulii katika ndoa zao?
 
Niambie wadada wa kabila gani hawapendi chini, hizi hoja za ku generalize mambo sijui huwa mnazitoa wapi wakuu. Kupenda chini haina kabila kwa sasa, sio wanaume au wanawake kwa kiasi kikubwa watu wa sasa wanaendekeza umalaya.

Kwa hiyo unataka kusema wapare hawatulii katika ndoa zao?
Wewe hauwezi jua mapungufu ya dada zako kaa utulie, mie mwenyewe mapungufu ya dada zangu siya fahamu.
Wadada wa kipare wakisikia fulani anapiga mashine sana, wanataka wajaribu wahakikishe....sasa uhuni hawawezi kufanya mbele yenu baadhi yao.
 
Huko Mwembe baradhani kuna magwiji, ni same hiyo...ila hapa hoja yangu ilikua inahusu wadada wa kipare kupenda chini.
Kwa hiyo huko kwingine mikoa na wilaya zingine hakuna magwiji wa ulozi? Mkuu hembu funguka akili kidogo, huwezi kufanya hasty generalisation bila kuweka facts mezani.

Swala na shirka kwa jamii za kiafrika lipo, lipo sehemu nyingi sana so huwezi ku point fingers kwa jamii moja kuwa hawa ni washirikina sana.
 
Mbona povu limezidi bi. Tabu?😂😂😂!!!

Ukizungumzia umalaya kabila zote ni malaya tu usijitie utakatifu sababu kwa rate ya wauza kouma waliopo barabarani huenda wa kabila lako wakawa wengi kuzidi hata wapare.

Siyo kweli. Ni wewe tu! Kama kuna Shetani, jua kuna Mungu pia ila washetani watajifariji kwa kuwa wako kwenye losing side!. Umalaya ni ushetani lakini wako watu safi na ndiyo sababu malaya mnatofautiana nao.
 
Kiufupi mie katika makabila yoote ya kanda ya kaskazini (wachaga, wapare, wameru, wamaasai, wamburu, wairaq,)...ni kabila moja tu ndo naweza shauri mtu akaoe huko nao ni wamaasai pekee.....hawa watu nimeishi nao sana na wanawake wa kimaasai wana mapenzi ya dhati yasiyoangalia mali anazomiliki mwanaume na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Ukimpata msichana wa kimaasai mkapendana wewe mwenyewe utaenjoy....sio hizo mbwa za hayo makabila mengine!!!
Kiufupi nimeishi kaskazini miaka takribani 17...hivyo nawafahamu fika watu wa huko. Wanawake wa kaskazini ni Malaya sana and they date and fuuck for money. Ukiwa na pesa mambo yataenda vizuri ila ukifirisika hakuna rangi utaacha ona!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom