Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri ila mimi nakutakia ndoa njema tu. Tarajia 1. Uchawi 2. Uchoyo na 3 limesemwa sana humu la kutombewa na pia uwe tayari kusengenywa maana hao wambea mfano hakuna.Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Waliifuta..unakumbuka kuna victim wa upareni alivyotaka kuweka voice over ya mkewe mchawi wa kipare.Wakuu sore, hivi hii hoja ilipata majibu?
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Kama umekamatika ni sawa kalipe mahari.ila tofauti na hapo umekwisha kijana.Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Wapare huwa wana waita wabondei hivyo.Wanasema wapare wakike wengi mlango wa nane
Je umelifanyia kazi hili
Lile Bweni la Cynagogy bado lipo?Kwa upande wangu nilienda kukua na kuyajua miasha tu...bongo hamna elimu zaidi ya kukaririshana tu..
Nimesoma PCB pale pakiwa hamnaa mwalimu hata mmoja
Nethina mbuli avae!! iki watonga bith'tali?Ereee hoaaaa avae!nethina mgayo avae
Sifa yenu nzuri ni kwamba mnajua sheria vizuri tuu, ndio sehemu pekee hata kabla ya uhuru Hakimu alinaye pelekwa katika mahakama za kipare lazima awe ameiva kisheria.Mi mpare ila hizi tabia za hawa wapare mnazioneaga wapi?
Wapare Ninaowajua wengi wamekula kitabu sana na wasabato wa kufa mtu
yani wewee,sijui kabila gani tz hii hujalikulaAsije kua demu wangu wa zamani tu...hapo masandare mademu tumewala sanaa tulio soma same sec
Wa kusini mwa tanzania sijabahatika kabisaa...labda nimnyapie nyapie Zeshyani wewee,sijui kabila gani tz hii hujalikula
lol,..
Litakuwepo mkuu...mimi nilikua nikiishi lile ambalo lipo karibu na mbuyu lisilikua na milango walaa madirisha ukiamka asubuh unakuta umelala na mbuzi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lile Bweni la Cynagogy bado lipo?
Tuachie dada zetu waolewe bwana, hiyo ya kuhamia kwa sasa haina kabila. Hata "huko kwenu" wanahamia kwa dada zao ni balaa. Au unasemaje bi Cariha!Udhaifu wa wapare ni umalaya uliokithiri na kupenda ushirikina Sana, pia jiandae ndugu wa mke kuamia kwako bila aibu
Namshangaa cariha, halafu ajue tu pare imegawanyika mara mbili, mwanga na same, hata tabia za watu wa mwanga na wa same kuna utofauti kiaina.Mi mpare ila hizi tabia za hawa wapare mnazioneaga wapi?
Wapare Ninaowajua wengi wamekula kitabu sana na wasabato wa kufa mtu