Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Karibu kwetu mkuu Mimi ni mpare na hapo masandare ni karibu na same sec wapare wanaheshima Sana.
[/QQUOT
MASANDARE dah umenikumbu 1994 nimesoma same secondary. Ilikuwa sehemu twaenda pata mademu. Niliacha mtoto itabidi nikiwa naenda Moshi nipitie
 
Udhaifu wa wapare ni umalaya uliokithiri na kupenda ushirikina Sana, pia jiandae ndugu wa mke kuamia kwako bila aibu
[emoji3516]
WEWE UMETUMWA KUJA KUVURUGA KAMPENI ZA CHAUMMA,
CHAMA KINACHOENDA KUSHIKA DOLA MWAKA HUU MWEZI WA KUMI WEWE!!!
[emoji51][emoji51][emoji51]
 
Wakuu Nimefika Masandare Ni kijiji tulivu kabisa japo Kuna ukame Sana. Sasa Kilichonishangaza nilidaiwa hela ya kugharamia sherehe ya Leo nikatuma 2m Tsh. Kwa M-PESA wiki iliyopita. Sasa hapa Nashangaa msosi wanatuletea Makande na kinywaji Azam Cola. Daah! Ndugu zangu niliongozana nao wanasitika Sana. Nshenga kaniita chemba kuwa nisipaniki Wala kuleta vurugu ukweni.
Jamaa wachumi balaa,yaani 2m halafu unakula makande?,hiyo sio fair kabisa.Wamepata mtaji tayari.
 
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe[emoji444][emoji444]kawimbo kazuri sana
 
Wakuu Nimefika Masandare Ni kijiji tulivu kabisa japo Kuna ukame Sana. Sasa Kilichonishangaza nilidaiwa hela ya kugharamia sherehe ya Leo nikatuma 2m Tsh. Kwa M-PESA wiki iliyopita. Sasa hapa Nashangaa msosi wanatuletea Makande na kinywaji Azam Cola. Daah! Ndugu zangu niliongozana nao wanasitika Sana. Nshenga kaniita chemba kuwa nisipaniki Wala kuleta vurugu ukweni.
Kwahiyo 2m humohumo umelipa na mahari
 
Ongera

Ni used au brand new? kilometer ngapi zinasoma? utapiga magoti na kuli wakati wa kuvisha pete?
nijibu nina ushauri mzuri kwako
 
Back
Top Bottom