Dp800
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,793
- 3,709
Kwa kweli wanawake wa masandare ni wapole na wachapa kazi kwelikweli afeli mwenyewe tuKaribu kwetu mkuu Mimi ni mpare na hapo masandare ni karibu na same sec wapare wanaheshima Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli wanawake wa masandare ni wapole na wachapa kazi kwelikweli afeli mwenyewe tuKaribu kwetu mkuu Mimi ni mpare na hapo masandare ni karibu na same sec wapare wanaheshima Sana.
Mbinu tuKweli. Harusi nyingi jijini mabibi harusi toka Uchagani. Sijajua sababu n nn
Mbinu gani?Mbinu tu
Huwez elewa kama ww ni kyasaka😂Mbinu gani?
Hili neno Kyasaka ndiyo linwaponza tunawagonga Dada zenu kwa hasira,na wao ndiyo wanazidi kunogewa na akina Kyasaka!!Huwez elewa kama ww ni kyasaka[emoji23]
Kila la kheri, leo na katika maisha yenu ya ndoa!Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Eeehee n kile kijiji kilichopakana na SAME BOYS?Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Taratibu mkuu!!Hawajui kukataa, utatombewa mpaka uombe poo
Dunia duara,Asije kua demu wangu wa zamani tu...hapo masandare mademu tumewala sanaa tulio soma same sec
Sanaa asee nilikua na kujaga kumtembelea bro wangu hapo thame sec masandare ndo lilikua chimbo kulaa mandazi pale dukani,na kuvizia videmu.ilaa hongera ambiereeeAsije kua demu wangu wa zamani tu...hapo masandare mademu tumewala sanaa tulio soma same sec
Kanali Ambiere. Jedi JahakoSanaa asee nilikua na kujaga kumtembelea bro wangu hapo thame sec masandare ndo lilikua chimbo kulaa mandazi pale dukani,na kuvizia videmu.ilaa hongera ambiereee
Kwa mama kibena pale haahaahaa na kina neemaSanaa asee nilikua na kujaga kumtembelea bro wangu hapo thame sec masandare ndo lilikua chimbo kulaa mandazi pale dukani,na kuvizia videmu.ilaa hongera ambiereee
Mimi hilo sijalipingaa...ila wangu alikua bikira labda kamaa wanamla sasa hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dunia duara,
Hata wewe, demu wako wa sasa ni demu wa jamaa kitambo.
Tuwekee picha ya shemelaNimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Advance 2007 mpka 2009Ulisoma lin br?
Hahahaha hakikaa...Siyo wako tena,wenye Kisu kikali ndiyo wamesha chukua Nyama yako!!
Kusimama kiuanaume maana yake nini?,Kutoa mahitaji ya ndani?,Kumudu mchezo wa 6×6?.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee mkuu mbona unamkandia hivi msela, mwache atoe mahari kwa watani wangu, sema muowaji nikupe moyo wapare wanasifa ya kuheshimu waume zao ila tu kama nawe utasimama kiuanaume,
Kwa upande wangu nilienda kukua na kuyajua miasha tu...bongo hamna elimu zaidi ya kukaririshana tu..Mmh wanafunzi mlienda kusoma au kutafuta mademu?
Muhimu hapo amtangulize Mungu ktk maisha hayo ya ndoa kila kitu kitakaa vizuri.Kila la kheri mkuu sema kuna jamaa humu alileta uzi akilalamika kuhusu hawa wapare washirikina sana ila nakutakia kila la kheri