Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.

Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.

UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting

View attachment 1588961
Wewe mwanaume wa wapi
Hicho ndiyo chakula ili kikutie mzuka kwa mtoto wao

Upande kwelikweli
 
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.

Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.

UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting

View attachment 1588961
makande ni desturi
 
Hongera Jamaa, napendaga sana watoto wa kipare, yaani katika maisha yangu hilo kabila nilidate Mabint watatu hivi, ahha hah nilichopendaga wanapenda sana nanii..... sasa wamekutana na ninayependa. Shida sikuweza kuwaoa aseee. mmoja aliniambia kama huwezi kunikojolesha jiandae kusadiwa duh ilikuwa hatari sana hiyoo na joto hili la dar , niliachana na huyu baada ya kuja kwangu na kisu kisa kukuta chupi ya mchepuko getho mzee nikakimbia chumba 😀😀😀😀. Mmoja nilienda kwake nikakuta njemba inatoka imelowa jasho sikurudi tena . huyu mwingine alikuw denti nilitia mimba nikakimbia lakini alitowaga aseee, i love wapere mzee piga kazi ya maana hapo utaenjoy sana...
 
Back
Top Bottom