SIM
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 1,795
- 1,304
Kwa kupenda chini wanafanana, ila mpare unaweza mfikisha kwa kuwa hajakeketwa mrangi kakeketwa kumfikisha ufanye kazi ya ziada.Hv hawa na warangi huwa wanaendana kitabia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kupenda chini wanafanana, ila mpare unaweza mfikisha kwa kuwa hajakeketwa mrangi kakeketwa kumfikisha ufanye kazi ya ziada.Hv hawa na warangi huwa wanaendana kitabia?
Dah nikikumbuka kuna mmoja anaolewa Jumamosi Mimi Alhamis nikamla.Wapare ukiacha umalaya maisha wanayajulia
Jamii za uko ndo zilivyo siyo kwa wapare tu kabila zote za kanda hiyoChoyo pia na chuki zidi ya ndugu wa mume ndo usiseme!
Kuimba kupokezana....Asije kua demu wangu wa zamani tu...hapo masandare mademu tumewala sanaa tulio soma same sec
Sababu wanawake wa kichaga ni wife material, wapambaji. Pamoja na kupondwa sana sijui hawana chura, wauaji, wanapenda pesa lakini bado wanaolewa mno.Kweli. Harusi nyingi jijini mabibi harusi toka Uchagani. Sijajua sababu n nn
Sure. Niliwahi kudate mwanamke too Tanga Mdigo aisee japo mzuri lakini day 1 akanipiga zinga la Tsh. 100,000/= madai ana mgonjwa,. Kukaa kama siku 3 anaomba 40,000 eti anadaiwa VICOBASababu wanawake wa kichaga ni wife material, wapambaji. Pamoja na kupondwa sana sijui hawana chura, wauaji, wanapenda pesa lakini bado wanaolewa mno.
Nilichogundua ni kwamba wanaume wengi hufurahishwa na wanawake pasua kichwa.
Hiyo combination ya Mpare na Msambaa itazalisha BOMU la Umalaya Extra SupermaxNimejaribu kupitia baadhi ya comment na baadhi ya watu wanapinga generalization ya tabia kwendana na kabila kwamba si sahihi,
- Science inaamin katika generalization ya matokeo ikiwa sample iliyotumika ni sufficient. Mf kama sample ina watu 10 katika eneo A,na 8 miongoni ni malaya-Manake tutaamini jamii A ni malaya sana kutokanana na kwamba 80% ya jamii A wanajihusisha ni vitendo hvyo.
Points to note.
Kuna vitu pia nchi nzima ime generalize na kiuhalisia havipingiki Mf.
*Nchi nzima inaamin jamii ya wachagga au Mangi ni watafutaji wazuri wa pesa.
*Pia nchi inakubaliana pasina shaka kwamba wahehe huwa wanajinyonga sana wakiudhiwa
Then kwann wapare wakiwa generalized ni wahuni na wabahili inakuwa issue? Binafsi mpare,mkamba,wanyiramba it's a big no kwenye mahusiano.
*Fanya tafiti ndogo tu-Wapare huwa wanapenda kuoana na wasambaa.
Kama unayo na umempenda si unampa? Tatizo ni kwamba hukuwa na hiyo pesaSure. Niliwahi kudate mwanamke too Tanga Mdigo aisee japo mzuri lakini day 1 akanipiga zinga la Tsh. 100,000/= madai ana mgonjwa,. Kukaa kama siku 3 anaomba 40,000 eti anadaiwa VICOBA
Na hii combination ikiishi pamoja,umaskini uliokithiri hutawala- Extrovert Mtaa wa wapare na wasambaa hapo sijui NJORO maendeleo yakoje 🤣 🤣 🤣Hiyo combination ya Mpare na Msambaa itazalisha BOMU la Umalaya Extra Supermax
Mnawapenda wachaga kinyama, sijui waliwapa nini!Pole sana mkuu, makabila yako 160 kilikukuta kipi ukaoa Mpare mzee [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Japokuwa ni wa kula kwenthu ila siwezi kuwa mzembe kiasi hio ya kuoa Mpare.
Wachaga wazuri bana eboo 😂😂😂 af vina ladha flani ya pekee. Sijui sababu vinakulaga sana ndizi
Ha ha ha hukuacha mtoto huko?Daah hongera sana mkuu MASANDARE WANAWAKE WA HAPO WAMETULIA SANA NAMI NILIKUWA APO SAME SEC
Msambaa akiwa na baiskeli na redio maisha kamaliza 🤣 🤣Hahahahah huko maendeleo yamekamatwa na wahalifu 😂
Demu mmekutana anauza mgahawa tu wiki moja ashakuomba 140,000/= tofali ngapi hizo? Happ bado sijapewa tamuKama unayo na umempenda si unampa? Tatizo ni kwamba hukuwa na hiyo pesa
Hawanaga presha na maisha. Umaskini imekua sehemu ya DNA Yao, ukipita mitaa ya Kariakoo ukawaona wanavyotembeza kashata na kahawa comfortable kabisa. Pia ukipita Tanga ardhi Safi lakini hawalimi na wako sawa tuMsambaa akiwa na baiskeli na redio maisha kamaliza 🤣 🤣
Si bora utafute anaeuzaa muachanee yani..Demu mmekutana anauza mgahawa tu wiki moja ashakuomba 140,000/= tofali ngapi hizo? Happ bado sijapewa tamu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wachaga wazuri bana eboo [emoji23][emoji23][emoji23] af vina ladha flani ya pekee. Sijui sababu vinakulaga sana ndizi