Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Demu mmekutana anauza mgahawa tu wiki moja ashakuomba 140,000/= tofali ngapi hizo? Happ bado sijapewa tamu
Kumbe wewe shida yako ni utamu, na yeye shida yake ni pesa. Nini unashangaa hapo?
Wote malengo yenu ni ya kizinzi.
Mwanamke ukionyesha kumpenda ile kuwa pamoja seriously hata kukuomba hela anaona aibu.
Ulitaka kumla bure bure ni mkeo?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nilikuwa na kamoja mahali flani nakakatia pindi la Masters mtu bee, kamodo flani ila kana mambo ya kizungu zungu yani kamentia hamasa lazma nikaombe mzigo. Ooh, nmesahau kukwambia ni kazuri pia keupe hako karefu yani duh kila nikikawaza naskia kale kanyimbo ka Zunchu kananizonga kichwani😁😂😂😂
 
Jana nilikuwa na kamoja mahali flani nakakatia pindi la Masters mtu bee, kamodo flani ila kana mambo ya kizungu zungu yani kamentia hamasa lazma nikaombe mzigo. Ooh, nmesahau kukwambia ni kazuri pia keupe hako karefu yani duh kila nikikawaza naskia kale kanyimbo ka Zunchu kananizonga kichwani[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Ama kweli yanayosemwa kwenye huu uzi hamjasingiziwa[emoji119][emoji119][emoji119]

Kwa uzuri kweli mabinti wa kichaga ni visu haswa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli yanayosemwa kwenye huu uzi hamjasingiziwa[emoji119][emoji119][emoji119]

Kwa uzuri kweli mabinti wa kichaga ni visu haswa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazuri na watam kwa kweli, yani wana yale masham sham flani amazing kwa sie wapenda madeko. Shida yao huja kwenye invoice tu😂😂😂 hapo ndio jau maana hawapendagi shida shida.
 
Kumbe wewe shida yako ni utamu, na yeye shida yake ni pesa. Nini unashangaa hapo?
Wote malengo yenu ni ya kizinzi.
Mwanamke ukionyesha kumpenda ile kuwa pamoja seriously hata kukuomba hela anaona aibu.
Ulitaka kumla bure bure ni mkeo?
Sasa abaki na utamu wake na Mimi na pesa zangu. Nikienda Sinza nachagua na haizidi 20,000 per session
 
Mtoto anakwambia mie situmiagi daladala yani ni bolt au pikipiki tu always😂😂😂 hapo manaake..Ni uber au uwe unam pick kazini na kumpeleka kwao.
Halafu akifika anampanga dereva ataje Bei kubwa ili nyingine aweke mfukoni
 
Hayo maisha ya paka wa gharama ni ngumu sana kwa sie wajuba. Ngoja nimtaftie angle atafunwe maana anaonesha anapenda gari sana yule 😂😂😂 nataka nijaze ac kwenye kimkweche changu nikamfanye mboga soon
Msambaa mpaka Gari?
 
Back
Top Bottom