Kumbe wewe shida yako ni utamu, na yeye shida yake ni pesa. Nini unashangaa hapo?Demu mmekutana anauza mgahawa tu wiki moja ashakuomba 140,000/= tofali ngapi hizo? Happ bado sijapewa tamu
Jana nilikuwa na kamoja mahali flani nakakatia pindi la Masters mtu bee, kamodo flani ila kana mambo ya kizungu zungu yani kamentia hamasa lazma nikaombe mzigo. Ooh, nmesahau kukwambia ni kazuri pia keupe hako karefu yani duh kila nikikawaza naskia kale kanyimbo ka Zunchu kananizonga kichwaniππππ
Ama kweli yanayosemwa kwenye huu uzi hamjasingiziwa[emoji119][emoji119][emoji119]Jana nilikuwa na kamoja mahali flani nakakatia pindi la Masters mtu bee, kamodo flani ila kana mambo ya kizungu zungu yani kamentia hamasa lazma nikaombe mzigo. Ooh, nmesahau kukwambia ni kazuri pia keupe hako karefu yani duh kila nikikawaza naskia kale kanyimbo ka Zunchu kananizonga kichwani[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi wanaosha carrot BoniteMsambaa akiwa na baiskeli na redio maisha kamaliza π€£ π€£
Wazuri na watam kwa kweli, yani wana yale masham sham flani amazing kwa sie wapenda madeko. Shida yao huja kwenye invoice tuπππ hapo ndio jau maana hawapendagi shida shida.Ama kweli yanayosemwa kwenye huu uzi hamjasingiziwa[emoji119][emoji119][emoji119]
Kwa uzuri kweli mabinti wa kichaga ni visu haswa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh kaskazini wezele zinatoka wapi???Huwa wana wezele sana watoto wa huko
Wapare wana wezere sana. Fanya home work yako utakuja kuniambia.
Kizuri gharama. Hudumia tu.Wazuri na watam kwa kweli, yani wana yale masham sham flani amazing kwa sie wapenda madeko. Shida yao huja kwenye invoice tu[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndio jau maana hawapendagi shida shida.
Mtoto anakwambia mie situmiagi daladala yani ni bolt au pikipiki tu alwaysπππ hapo manaake..Ni uber au uwe unam pick kazini na kumpeleka kwao.
Safi sana.Mtoto anakwambia mie situmiagi daladala yani ni bolt au pikipiki tu always[emoji23][emoji23][emoji23] hapo manaake..Ni uber au uwe unam pick kazini na kumpeleka kwao.
Sasa abaki na utamu wake na Mimi na pesa zangu. Nikienda Sinza nachagua na haizidi 20,000 per sessionKumbe wewe shida yako ni utamu, na yeye shida yake ni pesa. Nini unashangaa hapo?
Wote malengo yenu ni ya kizinzi.
Mwanamke ukionyesha kumpenda ile kuwa pamoja seriously hata kukuomba hela anaona aibu.
Ulitaka kumla bure bure ni mkeo?
Halafu akifika anampanga dereva ataje Bei kubwa ili nyingine aweke mfukoniMtoto anakwambia mie situmiagi daladala yani ni bolt au pikipiki tu alwaysπππ hapo manaake..Ni uber au uwe unam pick kazini na kumpeleka kwao.
ItapendezaSasa abaki na utamu wake na Mimi na pesa zangu. Nilienda Sinza nachagua na haizidi 50,000
Hayo maisha ya paka wa gharama ni ngumu sana kwa sie wajuba. Ngoja nimtaftie angle atafunwe maana anaonesha anapenda gari sana yule πππ nataka nijaze ac kwenye kimkweche changu nikamfanye mboga soon
Msambaa mpaka Gari?Hayo maisha ya paka wa gharama ni ngumu sana kwa sie wajuba. Ngoja nimtaftie angle atafunwe maana anaonesha anapenda gari sana yule πππ nataka nijaze ac kwenye kimkweche changu nikamfanye mboga soon
Hahahaaa we jamaa ww[emoji3][emoji3][emoji3]Wengi wanaosha carrot Bonite
Sio msambaa ni manka wa kichagaMsambaa mpaka Gari?
Kila mpare Ni msabato .Hawa ni wapare ninao wafahamu huku kitaa
Nilitaka kushangaa Msambaa anaye-complicate mpaka uwe na Gari wa wapi huyo?Sio msambaa ni manka wa kichaga