Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Nasikia pisi za kipare huwa nyingi zimekeketwa,, hili limekaaje wajuvi
 
Nani alikuchefua huko ukweni, mbona umetapika kwenye sahani? Ila una moyo aisee, unaoa demu la Kipare, mhhhhh. Anyways pole kwa kurogwa na kulishwa mavuzi na kinyesi ili usahau kwenu na kuwa ndondocha wa demu na shangazi zake.
 
Ulipiga mwaka gani?mie nlipiga 1999- 2002 Headmaster akiwa Mtrera.Bila kumsahau second maimu,Bob,Salema na wengine
Bob ndo yule alikua anafundisha Biology? Maimu alikua anakamua Kiboza
 
Habari mkuu, vipi ulishaoa au bado?? Maana nilikuombea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…