Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Huko Mwembe baradhani kuna magwiji, ni same hiyo...ila hapa hoja yangu ilikua inahusu wadada wa kipare kupenda chini.
Mdhuti wa shuveeWapare unawajua?
Haya pare INA koo ngapi?
Shuveeeee!
Mtoto wa mama muuza chai......Pisi Kali enzi hizo, iliitwa kibena!
HahahahMdhuti wa shuvee
Poa shemejiKaribu kwetu mkuu Mimi ni mpare na hapo masandare ni karibu na same sec wapare wanaheshima Sana.
Hilo limekaa kikudaNaskia pisi za kipare huwa nyingi zimekeketwa,, hili limekaaje wajuvi
Nani alikuchefua huko ukweni, mbona umetapika kwenye sahani? Ila una moyo aisee, unaoa demu la Kipare, mhhhhh. Anyways pole kwa kurogwa na kulishwa mavuzi na kinyesi ili usahau kwenu na kuwa ndondocha wa demu na shangazi zake.Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.
Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.
UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting
View attachment 1588961
Not true, kule ni ushirikina tu wa kuiba wanaume....sawa kidogo na UpareniTanga is synonymous to Mapenzi
Ulipiga mwaka gani?mie nlipiga 1999- 2002 Headmaster akiwa Mtrera.Bila kumsahau second maimu,Bob,Salema na wengineAsije kua demu wangu wa zamani tu...hapo masandare mademu tumewala sanaa tulio soma same sec
Bob ndo yule alikua anafundisha Biology? Maimu alikua anakamua KibozaUlipiga mwaka gani?mie nlipiga 1999- 2002 Headmaster akiwa Mtrera.Bila kumsahau second maimu,Bob,Salema na wengine
Habari mkuu, vipi ulishaoa au bado?? Maana nilikuombea.Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.
Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.
UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting
View attachment 1588961
Mchango ulitoa?Habari mkuu, vipi ulishaoa au bado?? Maana nilikuombea.