Napenda haya majina

Napenda haya majina

Habari JF....

Asee nataka tu niwashirikishe majina ninayoyapenda....

Yani haya majina haipiti siku sijayataja hata kimoyomoyo...

Yako unique aseee...

1.Nangwana sijaona

2.Ubena Zomozi

3.Chachu Ombara,hili jina nimeliona humu JF juzi juzi ktk pita pita zangu..

4.Simbachawene

Hata sijui kwann nayapenda...

We unapenda majina gani???
Lowassa
 
Chokochoko mchokoe pweza binadamu huyo muweza. scorpio me nakujulisha hata usemeje kamwe bura yangu sibadili na rehani.
Muungwana akivuliwa nguo Huchutama..........Huyu anaemvua nguo Muungwana ana nia gani? na ni nani........? na muugwana wakati wa kuchutama ni lazima ainame itakuwaje walio nyuma yake.........!!!!!!!.....?????? kazi kwelikweli........
 
Habari JF....

Asee nataka tu niwashirikishe majina ninayoyapenda....

Yani haya majina haipiti siku sijayataja hata kimoyomoyo...

Yako unique aseee...

1.Nangwana sijaona

2.Ubena Zomozi

3.Chachu Ombara,hili jina nimeliona humu JF juzi juzi ktk pita pita zangu..

4.Simbachawene

Hata sijui kwann nayapenda...

We unapenda majina gani???
Ukiwaona ditopile wakamate mzuzuri!
 
Back
Top Bottom