Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Habari JF....
Asee nataka tu niwashirikishe majina ninayoyapenda....
Yani haya majina haipiti siku sijayataja hata kimoyomoyo...
Yako unique aseee...
1.Nangwana sijaona
2.Ubena Zomozi
3.Chachu Ombara,hili jina nimeliona humu JF juzi juzi ktk pita pita zangu..
4.Simbachawene
5.TP Mazembe
Hata sijui kwann nayapenda...
We unapenda majina gani???
Asee nataka tu niwashirikishe majina ninayoyapenda....
Yani haya majina haipiti siku sijayataja hata kimoyomoyo...
Yako unique aseee...
1.Nangwana sijaona
2.Ubena Zomozi
3.Chachu Ombara,hili jina nimeliona humu JF juzi juzi ktk pita pita zangu..
4.Simbachawene
5.TP Mazembe
Hata sijui kwann nayapenda...
We unapenda majina gani???