Napenda kufaham wasanii mikoa wanayotoka

Napenda kufaham wasanii mikoa wanayotoka

Arusha...joh makini, nikki 2, g nako, lord ez, jcb, mo plus, nakaya, tash, dogo janja, bonta, shah bang, genrez mwakitabu, mapacha, banx, jambo squad, stopper
Bonta ni mjaluo wa buturi ,rorya Mara na ni katibu wa afya halmashaur ya ushetu kahama.
 
MWANZA

FID Q
,Mtoto wa Dandu(R.I.P),
Dudubaya
,H.baba,
Rado,
PNC,
Young killer
,Baraka da prince
,Kadgo
, malle
,Dataz,
Sajna
,Mo music
,nchama the best,
Mayunga
,Edu boy,
Khadija
Coyo
Dogo D
H.chris
Lady kwilega
Rasco
Dullah mwanza
Candy
 
Ila mbona wengi ni wale wanaoabudu Ijumaa? Kaswida nini? Kwani ata wale wa Jumapili an Jumamosi nilisikia mmoja wao alikuwa anaimba kwaya kanisani.
 
MBEYA KUNA..
1.Sugu(msanii wa kwnza wa bongo fleva kumilik gar,msani wa kwanza wa bongo fleva kufanya album as solo artst,msanii wa kwanza kuwa na album na album 10 sokon,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwaleta wasani wa nje bongo,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwapnga clouds hadharan kwa unyonyaj wao,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuuza album mkonon,MSANII WA KWANZA WA BONGO FLEVA KUWA MBUNGE)..

Wengne cwataj ntajaza hapa..

Msanii wa kwanza kwenda jela baada ya kumjaribu Rais Magufuli!
 
MBEYA KUNA..
1.Sugu(msanii wa kwnza wa bongo fleva kumilik gar,msani wa kwanza wa bongo fleva kufanya album as solo artst,msanii wa kwanza kuwa na album na album 10 sokon,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwaleta wasani wa nje bongo,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwapnga clouds hadharan kwa unyonyaj wao,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuuza album mkonon,MSANII WA KWANZA WA BONGO FLEVA KUWA MBUNGE)..

Wengne cwataj ntajaza hapa..
Tununu.......
 
hawa ni ma underground wakubwa
Joh naye underground? Ww haujui muziki!
Screenshot_2018-04-20-21-14-18.jpg
 
Ali Kiba
Diamond
Omy Dimpoz
Queen darling
Abdu Kiba
wanatoka Kigoma
Umewasahau

Kaseja
Msechu
Zolo family
Linex
Lunyamila
Upendo Nkone
Upendo Kilahiro
Fanuel Sedekia(r.ip)
Bizimana
Mnyika
Mapigo saba
List ni ndefu....
 
jamani bwana misosi siwa kigoma? alipiga kerere sana alivyo kosa kwenye LEKA DUTIGITE....
Ni wa kigoma lkn alitokea tanga ki mziki. Kwao ni pale nyumbigwa kijiji kimoja na prof mbwiliza
 
Niaje wana JF, Natumai ni wazima wa afya, nipo hapa kutaka kujua wasanii wetu wa Bongo flavour mikoa wanayotoka.
Nikiaanza na mkoa wa Tanga ambao baadhi ya wasanii asiliyao ni uko ni kama ifuatavyo:

TANGA kuna;
1 Sumalee
2 Cpwaa{halifa ilunga}
3 Matonya{Sefu Shabani}
4 Kassim Mganga
5 Wagosi wa Kaya
6 Ring 2be aka Pete{Rashidi Ngayama}
7 Mwana FA{Hamisi Mwinjuma}
8 Bwana Misosi
9 Q Chilla{Abubakari Katwila}
10 MB Doggy{Mbwana}
11 R.O.M.A{Ibrahim Mussa}
12 Top C
13 Dr Karim
14 John Walker
15 Gelly wa rhym
16 Hemed Phd{Hemed Suleiman}
17 Sharomillionear{Mohamed Mtikey}
18 Danny Msimamo
19 ...........................
Wengine ambao nimewasahau mnaweza kuwaorodhesha, na mpia mtuletee majina toka mikoa mingine:israel:
Mkuu mtoe bw Misosi sio mtoka Tanga bali Kigoma mkuu.
 
Back
Top Bottom