mr masanja
New Member
- Dec 5, 2017
- 2
- 0
Kala jeremiahKaka Man, Tongolanga, Kundambanda,Leila Rashid,Zimwi, Nk toka KUCHELE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kala jeremiahKaka Man, Tongolanga, Kundambanda,Leila Rashid,Zimwi, Nk toka KUCHELE
Bonta ni mjaluo wa buturi ,rorya Mara na ni katibu wa afya halmashaur ya ushetu kahama.Arusha...joh makini, nikki 2, g nako, lord ez, jcb, mo plus, nakaya, tash, dogo janja, bonta, shah bang, genrez mwakitabu, mapacha, banx, jambo squad, stopper
CoyoMWANZA
FID Q
,Mtoto wa Dandu(R.I.P),
Dudubaya
,H.baba,
Rado,
PNC,
Young killer
,Baraka da prince
,Kadgo
, malle
,Dataz,
Sajna
,Mo music
,nchama the best,
Mayunga
,Edu boy,
Khadija
Usimsahau juma nature.Hard mad,Fatma,Jay Mo,Jaffarai,TID,Inspector harun,KR,Isabela wote wamachinga
Na dogo AminiUsimsahau juma nature.
MBEYA KUNA..
1.Sugu(msanii wa kwnza wa bongo fleva kumilik gar,msani wa kwanza wa bongo fleva kufanya album as solo artst,msanii wa kwanza kuwa na album na album 10 sokon,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwaleta wasani wa nje bongo,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwapnga clouds hadharan kwa unyonyaj wao,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuuza album mkonon,MSANII WA KWANZA WA BONGO FLEVA KUWA MBUNGE)..
Wengne cwataj ntajaza hapa..
Jeremiah na kuchele wapi na wapiKala jeremiah
coyoManager maneno,Beka title, jafarai csir madini
Tununu.......MBEYA KUNA..
1.Sugu(msanii wa kwnza wa bongo fleva kumilik gar,msani wa kwanza wa bongo fleva kufanya album as solo artst,msanii wa kwanza kuwa na album na album 10 sokon,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwaleta wasani wa nje bongo,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwapnga clouds hadharan kwa unyonyaj wao,msanii wa kwanza wa bongo fleva kuuza album mkonon,MSANII WA KWANZA WA BONGO FLEVA KUWA MBUNGE)..
Wengne cwataj ntajaza hapa..
Joh naye underground? Ww haujui muziki!hawa ni ma underground wakubwa
Wooooiiiii Bushoke ni muhaya,wahaya hawakai DodomaDodoma, Gwear, Ben Paul, Bushoke, mjukuu wa chimwaga(Dark Master), mez B, Mataluma,
UmewasahauAli Kiba
Diamond
Omy Dimpoz
Queen darling
Abdu Kiba
wanatoka Kigoma
Ni wa kigoma lkn alitokea tanga ki mziki. Kwao ni pale nyumbigwa kijiji kimoja na prof mbwilizajamani bwana misosi siwa kigoma? alipiga kerere sana alivyo kosa kwenye LEKA DUTIGITE....
Mkuu mtoe bw Misosi sio mtoka Tanga bali Kigoma mkuu.Niaje wana JF, Natumai ni wazima wa afya, nipo hapa kutaka kujua wasanii wetu wa Bongo flavour mikoa wanayotoka.
Nikiaanza na mkoa wa Tanga ambao baadhi ya wasanii asiliyao ni uko ni kama ifuatavyo:
TANGA kuna;
1 Sumalee
2 Cpwaa{halifa ilunga}
3 Matonya{Sefu Shabani}
4 Kassim Mganga
5 Wagosi wa Kaya
6 Ring 2be aka Pete{Rashidi Ngayama}
7 Mwana FA{Hamisi Mwinjuma}
8 Bwana Misosi
9 Q Chilla{Abubakari Katwila}
10 MB Doggy{Mbwana}
11 R.O.M.A{Ibrahim Mussa}
12 Top C
13 Dr Karim
14 John Walker
15 Gelly wa rhym
16 Hemed Phd{Hemed Suleiman}
17 Sharomillionear{Mohamed Mtikey}
18 Danny Msimamo
19 ...........................
Wengine ambao nimewasahau mnaweza kuwaorodhesha, na mpia mtuletee majina toka mikoa mingine:israel: