wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Yaani watu na akili zetu House gelo katuchota na kutuaminisha anauwezo kujenga na kuanzisha supermarket?Kama bado visa yako haija expire huja overstay ,au bado una multiple entry zinakuruhusu huko ,
na una ajira na kusihi endelea kupambana upate kiwango kingine cha fedha kama hzio ujenge na nyumba maeno mazuri za kupangisha ,
huku ukiwa na hiyo supermarket
Yaani watu na akili zetu House gelo katuchota na kutuaminisha anauwezo kujenga na kuanzisha supermarket
that is a sweet oil to the dreamer in the car because it will be driven with joyfu noises I love that but if you was being sarcastic then 🤣🤣🤣🤣 it’s a nice quoteJim Reeves- Wishful thinking daydreams fly happy visions fill the night.
kwahiyo una taka kuniambia hakuna house girl aliye toboa kimaisha baada ya kumaliza kazi za u house girl 🤔🤔Yaani watu na akili zetu House gelo katuchota na kutuaminisha anauwezo kujenga na kuanzisha supermarket?
Kwenye small industry nakupa kongole, Iringa ina potential kubwa kwenye mbao lakini sioni ikitumika kikamilifu, wengi wakiwaza kuwekeza kwenye mbao basi ni kulima na kuuza mbao ghafi wakati kuna bidhaa nyingi za mbao unaweza kuzalisha na kujiingizia kipato kikubwa huku biashara yenyewe ikiwa haina ushindani mkubwa ukilinganisha na biashara nyingineHabari Mkuu. Mtu ambaye unarudi Africa kuInvest na kutulia nyumbani ukiwa na nguvu ya dollar na kutaka kuwekeza nyumbani iringa... Hongera sn. Ushauri wangu fanya tafiti juu ya biashara yyt ambayo ni ya uzalishaji moja kwa moja. Nadhani nguvu ya mtaji wako inatosheleza kuanzisha small industry Mfano ya mafuta ya kula, unga maji, sabuni nk. Also since ni iringa explore kununua shamba la miti ili baadae uwe unavuna mbao... Iringa Kuna parachichi, vitunguu, nyanya kwa wingi... Vp kuhusu packaging industry ya agricultural products for export? Iringa so Kuna airport? Lakini pia why usinunue ardhi ukaweka greenhouses zako kadhaa ukachimba kisima ili ufanye kilimo cha kisasa? Kuna changamoto nyingi ktk uendeshaji wa big supermarket tena sasa wewe unataka kuifungilia iringa aisee. Buy land, get into kilimo cha kisasa au invest in small industry. Huo ndio ushauri wangu Mkuu
Labdà kama alikuwa punda aliyejificha kwenye uhausi gelokwahiyo una taka kuniambia hakuna house girl aliye toboa kimaisha baada ya kumaliza kazi za u house girl 🤔🤔
Na wewe mkuu tuambie kwa nini asiwe na uwezo wa kujenga na kuanzisha Supermarket... Kwa nini?Yaani watu na akili zetu House gelo katuchota na kutuaminisha anauwezo kujenga na kuanzisha supermarket?
SawaLabdà kama alikuwa punda aliyejificha kwenye uhausi gelo
Apo iite sankeykykroavask supermarketBig supermarket name
Napenda kujenga big supermarket Iringa, nataka watu wakija kununua wanaingia ndani ya duka na kujipatia wanachotaka kwakuwa itakuwa big supermarket.
Nataka jina la hiyo supermarket niitaje hata nikiweka bango mtu awe anakumbuka jina, na sitaki jina linalofanana na maduka mengine. Jina linaweza kutoka kwenye hizi herufi "S A E K N F L J" SUPERMARKET.
AsanteShukulove Hongera sana kwa wazo zuri. Iringa ni pazuri sana hususani Iringa mjini, kamji kadogo lakini kenye utulivu sana. Ni kweli mji hauna supermarket, cinema house, nk ni fursa nzuri kuwekeza.
Suala la biashara kulipa au kutolipa ni mpaka utakapoifanya, mchawi ni bei. Watanzania wengi tunapenda bei kitonga ndio maana watu kama kina VUNJA BEI wanazidi kutoboa, vitu bei nzuri bila kujali quality ipoje. Jenga hiyo supermarket ila uza bidhaa kwa bei poa, wengi watakuja hapo. Weka na cinema house watakuja.
Jina, weka yale yaliyokua maarufu zamani ila hayakusajiliwa popote, mfano MFALANYAKI - Kilikuwa ni kilabu maarufu cha pombe, kilikufa na jina halijatumika tena, ukiita Mfalanyaki Supermarkert au mfalanyaki store, utaibua hisia na kumbukumbu za wanairinga watamiminika na jina litazoeleka kwa kasi sana, usijali kuhusu urefu wa jina.
Kwanini asiweze Boss? Kuna nyumba nyingi sana nzuri zimejengwa huku bongo ukiuliza utajibiwa mwenye nayo anakaa ulaya anafanya kazi za ndani, binafsi mkoani kwangu ipo nyumba ya dada mmoja anafanya kazi za ndani CA.Yaani watu na akili zetu House gelo katuchota na kutuaminisha anauwezo kujenga na kuanzisha supermarket?
Hapana usijenge yale mabehewa ya wapangaji wengi nyumba 1.Nyumba ya kupangisha nanunua kiwanja alafu najenga jengo moja vumbya vingi au najenga nyumba nzima moja alafu tena najenga nyingine ,kujenga nyumba nzima moja moja ita nikula mpaka nita choka Huwa nafikilia kujenga nyumba ya kupanga najenga jengo moja alafu nakata vyumba Vyumba lakin huwa naona sielewi sana nikiwaza chumba sebure jiko bafu Bado tu najianda nataka kupata mongozo flan kabla sija anza kujenga Asante kwa msaada wako
Sioni kama ni jambo la ajabu sana hata lisiwezekane, nina rafiki yangu ana dada yake yupo nje kwa kazi za ndani ndio analisha familia,Yaani watu na akili zetu House gelo katuchota na kutuaminisha anauwezo kujenga na kuanzisha supermarket?
Hapana usijenge yale mabehewa ya wapangaji wengi nyumba 1.
Jenga :mfano , nyumba moja wapangaji wawili tu, kila mpangaji ana sebula,chumba jiko na choo chake.
Kama eneo linatosha pembeni weka vyumba vya" self contained " hata viwili.
AsanteShukulove Hongera sana kwa wazo zuri. Iringa ni pazuri sana hususani Iringa mjini, kamji kadogo lakini kenye utulivu sana. Ni kweli mji hauna supermarket, cinema house, nk ni fursa nzuri kuwekeza.
Suala la biashara kulipa au kutolipa ni mpaka utakapoifanya, mchawi ni bei. Watanzania wengi tunapenda bei kitonga ndio maana watu kama kina VUNJA BEI wanazidi kutoboa, vitu bei nzuri bila kujali quality ipoje. Jenga hiyo supermarket ila uza bidhaa kwa bei poa, wengi watakuja hapo. Weka na cinema house watakuja.
Jina, weka yale yaliyokua maarufu zamani ila hayakusajiliwa popote, mfano MFALANYAKI - Kilikuwa ni kilabu maarufu cha pombe, kilikufa na jina halijatumika tena, ukiita Mfalanyaki Supermarkert au mfalanyaki store, utaibua hisia na kumbukumbu za wanairinga watamiminika na jina litazoeleka kwa kasi sana, usijali kuhusu urefu wa jina.
Asante kwa ushauriHapana usijenge yale mabehewa ya wapangaji wengi nyumba 1.
Jenga :mfano , nyumba moja wapangaji wawili tu, kila mpangaji ana sebula,chumba jiko na choo chake.
Kama eneo linatosha pembeni weka vyumba vya" self contained " hata viwili.
Kwenye supermarket huko jipange utafute maarifa na ujuzi wa ku dela na watu kama cashier, walinzi, uelewa kuhusu stock, marketing, customer service/care muhimu sana .. yani wewe ukiwa kama owner inabidi uwe na skills nyingi na ufahamu wa hayo mambo jinsi yanavyokwenda tofauti na hapo uatfute manager atakeye simamia (jambo ambalo sishauti sana ) labda kama mtafanya kazi nega kwa bega
Hili jambo liko kinadharia zaidi maana uhalisia unalikataa. Wazo ni sahihi ila wakati na mahali si sahihi. Mji wetu bado uko kwenye viwango vya maduka ya kawaida. watu wetu hawajawa na uwezo wa kununua vitu kwenye "super Market" kubwa.Cc Nguli Allen Kilewella mkaribishe muwekezaji