Napenda kujenga duka kubwa (supermarket) sasa

Napenda kujenga duka kubwa (supermarket) sasa

Siku ya kurudi Iringa unijulishe ili twende tukamsalimie Mzee maarufu pale Iringa Mjini! Anaitwa Mzee Mgaya.

Huyo Mzee ana fremu za biashara zaidi ya 100 pale stendi ya zamani. Hivyo itakuwa ni rahisi wako kupata walau fremu moja ya kuanzishia hiyo supermarket yako.
Ni wazo zuli lakin mimi nilikuwa nataka kununua kiwanja na kuki jenga mwenyewe Na anapangisha tu au ana uza pia ningependa kununua na si kukodi
 
Big supermarket name

Napenda kujenga big supermarket Iringa, nataka watu wakija kununua wanaingia ndani ya duka na kujipatia wanachotaka kwakuwa itakuwa big supermarket.

Nataka jina la hiyo supermarket niitaje hata nikiweka bango mtu awe anakumbuka jina, na sitaki jina linalofanana na maduka mengine. Jina linaweza kutoka kwenye hizi herufi "S A E K N F L J" SUPERMARKET.
Kwanza kuhusu jina kulingana na herufi ulizotaja napendeza tumia "JAKS SUPERMARKET " kwasababu ni jina fupi, linasomeka kwa urahisi na bila kutaja herufi moja moja pia kama kukiwa nafasi ya ajira yoyote halali naomba msaada wako naishi Iringa mjini maeneo ya Kihesa.. Nina elimu ya bachelor in business management na diploma in procurement and logistic management vile vile uzoefu wa kufanya kazi benki katika majukumu ya uhasibu, cashier, supply chain na logistics nipo tayari kujitolea mwanzoni wakati ambao kunakua na mambo mengi ya kuyaweka sawa.
 
Umefikaje huko tupe connection tuzamie
Nilikuwa mfanya kazi wa ndani bosi akanichukua na mimi tukaja wote lakini watu waanze kutafuta passport nikipata connection nita wakumbuka 😘😘
 
Big supermarket name

Napenda kujenga big supermarket Iringa, nataka watu wakija kununua wanaingia ndani ya duka na kujipatia wanachotaka kwakuwa itakuwa big supermarket.

Nataka jina la hiyo supermarket niitaje hata nikiweka bango mtu awe anakumbuka jina, na sitaki jina linalofanana na maduka mengine. Jina linaweza kutoka kwenye hizi herufi "S A E K N F L J" SUPERMARKET.
Kuandika ujui,au unafikiri hiyo super markets utainyaaa?? Danga na vibopa au uza punye
 
Umefikaje huko tupe connection tuzamie
Nilikuwa mfanya kazi wa ndani bosi akanichukua na mimi tukaja wote lakini watu waanze kutafuta passport nikipata connection nita wakumbuka 😘😘
Kuandika ujui,au unafikiri hiyo super markets utainyaaa?? Danga na vibopa au uza punye
huo ni ujinga na upotovu uza punye zako kwakuwa unashda ya hela
alafu kujua kuandika na kuwa na akili ni vitu viwili
mimi sijui kuandika na niko na akili
wewe unajua kuandika na hauko na akili kama una akili Hivi akili yako inakupeleka wapi

chunga sana usi ishi kwa mazoea


kwa nini walio soma ndo wanao ajiliwa
hujawahi kujiuliza kwa nini wasomi wengi hawa ajili Bali wana ajiliwa
baki na kujua kuandika sisi tuta soma udaku magazetini
na kijana chunga heshima yako kuitwa baba nanii au mama nanii ni heshima na walee watoto wako katika msingi mzuri ila siyo kumwambia mtu auze kitu fulani wakati unajua hakina soko uta danga danga mpaka lini
 
Tafuta ka fremu mjini weka duka la vifaa vya simu (screen protectors, chaja na covers). Then tafuta vijana 10 machinga uwe unawapa bidhaa wanatembeza wanauza cha juu wanakula ww unachukua hela yako na bidhaa zilizobaki.

Wakat unanangaiza wateja na vijana wako nao wanakua mtaani wanabangaiza. Utanishukuru
 
Tafuta ka fremu mjini weka duka la vifaa vya simu (screen protectors, chaja na covers). Then tafuta vijana 10 machinga uwe unawapa bidhaa wanatembeza wanauza cha juu wanakula ww unachukua hela yako na bidhaa zilizobaki.

Wakat unanangaiza wateja na vijana wako nao wanakua mtaani wanabangaiza. Utanishukuru
Wow Asante
 
Ukitaka majina kuna website zinafanya hio kazi ingia chagua the best.


Mimi nakushauri fanya kile moyowako ulichokusudia (supermarket) never divert.

Hata kama ukifeli (japo haitatokea) utajilaum mwenyewe.

Kitakachokufanya ufanikiwe ni neno “perseverence” stiki kwenye hio biashara hata 5 years utajifunza vitu vingi then boom utaanza kuona profit
 
Ukitaka majina kuna website zinafanya hio kazi ingia chagua the best.


Mimi nakushauri fanya kile moyowako ulichokusudia (supermarket) never divert.

Hata kama ukifeli (japo haitatokea) utajilaum mwenyewe.

Kitakachokufanya ufanikiwe ni neno “perseverence” stiki kwenye hio biashara hata 5 years utajifunza vitu vingi then boom utaanza kuona profit
Thank you so much
 
Kama bado visa yako haija expire huja overstay ,au bado una multiple entry zinakuruhusu huko ,

na una ajira na kusihi endelea kupambana upate kiwango kingine cha fedha kama hzio ujenge na nyumba maeno mazuri za kupangisha ,

huku ukiwa na hiyo supermarket
 
Kama bado visa yako haija expire huja overstay ,au bado una multiple entry zinakuruhusu huko ,

na una ajira na kusihi endelea kupambana upate kiwango kingine cha fedha kama hzio ujenge na nyumba maeno mazuri za kupangisha ,

huku ukiwa na hiyo supermarket
Nyumba ya kupangisha nanunua kiwanja alafu najenga jengo moja vumbya vingi au najenga nyumba nzima moja alafu tena najenga nyingine ,kujenga nyumba nzima moja moja ita nikula mpaka nita choka Huwa nafikilia kujenga nyumba ya kupanga najenga jengo moja alafu nakata vyumba Vyumba lakin huwa naona sielewi sana nikiwaza chumba sebure jiko bafu Bado tu najianda nataka kupata mongozo flan kabla sija anza kujenga Asante kwa msaada wako
 
Najianda habari ya hela niko na dolla kuzibadilisha kuwa tz shillings zina tosha naanza na jina ili jengo likianza kujengwa watu wajuage ni nini najeng
Jim Reeves- Wishful thinking daydreams fly happy visions fill the night.
 
Back
Top Bottom