comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Nadhani ni kwa zile suti zao [emoji6]
Wakwetu wako too local.Wana codes zao kuanzia physical hadi kuandika
Too local kivip mkuuWakwetu wako too local.
James bond 007 you only live twice movie in text formatjf
Kuna minong'ono kadhaa jinsi ya maafisa hao wanavyoweza kutambuana popote pale duniani wengine wanasema wana lugha zao wengine kwa kuangaliana tu ,wajuvi wa mambo wanijuze katika somo hili
Wakusanyaji, wachambuzi na wawasilishaji wa taarifa za usalama wa taifa kwa njia za siri (clandestine methods) kwa jina la kimombo huitwa spiersSamahani mashushu ndo watu gani
Nashukuru ndugu nawafahamu kwa kingereza kiswahili nilikua sijuiWakusanyaji, wachambuzi na wawasilishaji wa taarifa za usalama wa taifa kwa njia za siri (clandestine methods) kwa jina la kimombo huitwa spiers
Una maana gani kusema wa kwetu ni too local? Actually kama ni watanzania, lazima wawe local maana mtanzania ni locally Tanzanian. Unless kwako neno local ina maana nyingine au huwezi kuona kizuri kwa chochote kinachofanywa na mtanzania.Wakwetu wako too local.
SpiesWakusanyaji, wachambuzi na wawasilishaji wa taarifa za usalama wa taifa kwa njia za siri (clandestine methods) kwa jina la kimombo huitwa spiers