Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,147
teh teh teh hizo walaa. Angalia akikaa baa cheki exit zilipo na angalia amekaa wapi na je ana access na exit zote?😀Mie nikiona kavaa kaunda suti kaweka na pen kwenye shati kisha kanyoa ndevu zote na nywele kapiga unga nakimbia fasta hapo maana utakuwa unadukuliwa .