Napenda kujua kwa namna gani mashushushu duniani wanaweza kutambuana

Napenda kujua kwa namna gani mashushushu duniani wanaweza kutambuana

Rahisi sana huwa wanajitangaza kwenye maharusi...na vijiwe vya kahawa
 
shushu mzuri ni yule anaeweza kujiblend katika watu na asiweze kutambulika iwe na mtu wa kawaida ama na shushu mwenzake.
Shushu anamtambua shushu mwenzake kama atakosea akajiexpose,
mfano kama shushu mmoja anahofia kuwa anafuatwa na mashushu wengine,atakachofanya ni kurun Surveillance Detection Run(SDR),
yaani anaweza kuwa anatembea,ghafla akageuka na kurudi alikotoka,kisha ghafla akadandia bodaboda akifika mtaa unaofuata atandandia daladala,kisha likisimama kituoni,atashuska dakika za mwisho,
ataingia kwa mfano bar na kukaa sehemu anayoweza kuona kila anaeingia,
sasa kama wewe ni shushu njaa,atakung'amua mapema tu kwamba i have grown a tail,yaani kuna mtu anamfuata,
ndo maana wenzetu sikuhizi wanatumia drone kufuatilia mtu,maana shushu makini huwezi kumfuata atakugundua tu
Mbna hata vibaka wanatumia mbinu hii?
Enewei umeeleza vizuri
 
hata humu wamo wanawaangalia tu mnavyohangaika kuwajua.
hivi yule mkurugenzi wa NIDA aliteuliwa kuwa nani vile???

be carefully......
 
shushu mzuri ni yule anaeweza kujiblend katika watu na asiweze kutambulika iwe na mtu wa kawaida ama na shushu mwenzake.
Shushu anamtambua shushu mwenzake kama atakosea akajiexpose,
mfano kama shushu mmoja anahofia kuwa anafuatwa na mashushu wengine,atakachofanya ni kurun Surveillance Detection Run(SDR),
yaani anaweza kuwa anatembea,ghafla akageuka na kurudi alikotoka,kisha ghafla akadandia bodaboda akifika mtaa unaofuata atandandia daladala,kisha likisimama kituoni,atashuska dakika za mwisho,
ataingia kwa mfano bar na kukaa sehemu anayoweza kuona kila anaeingia,
sasa kama wewe ni shushu njaa,atakung'amua mapema tu kwamba i have grown a tail,yaani kuna mtu anamfuata,
ndo maana wenzetu sikuhizi wanatumia drone kufuatilia mtu,maana shushu makini huwezi kumfuata atakugundua tu

Naomba kufahamishwa zaidi kuhusu hiyo "SURVEILLANCE DETECTION RUN" ni nini hasa?
 
Nahisi inategemea na kitengo gani..mfn wale wa suti wengi hawafungi vifungo huwa (nasikia) anaweza kushika upande mmoja wa koti au kuweka tai sawa kumbe hapo ndio washaongea tayari na kutambuana..(sijui kweli)
 
Nahisi inategemea na kitengo gani..mfn wale wa suti wengi hawafungi vifungo huwa (nasikia) anaweza kushika upande mmoja wa koti au kuweka tai sawa kumbe hapo ndio washaongea tayari na kutambuana..(sijui kweli)
Wale wasiofunga vifungo vya makoti yao, mara nyingi ni PSU ambao wanafanya vile kujiweka tayari wakati wowote kuweza kumkabili adui kwa kutoa silaha toka kiunoni au kwenye makoti yao.
 
Nahisi inategemea na kitengo gani..mfn wale wa suti wengi hawafungi vifungo huwa (nasikia) anaweza kushika upande mmoja wa koti au kuweka tai sawa kumbe hapo ndio washaongea tayari na kutambuana..(sijui kweli)
kutambuana sio lengo mojawapo la hao unaowahita mashushushu,
unless labda wako katika operation moja kwa wakati huo,


actually shushushu sio mtu special saana kama mnavyodhania,sema tu wako trained kwa kazi wanayoifanya,
sawa na injinia alivyo trained kwa kazi yake
 
Kuna codes, siyo kwa shushuu tu hata kwa watu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Pia kuna general codes kwa wote wanaelewana (askari, trafic, mwana jeshi)

KADA
Nadhani swali la mtoa mada hujalielewa vizuri though kwa nadhalia ya mwanajeshi kwa mwanajeshi au askari polisi kwa askari polisi hutambuana kwa vitu vichache tu wakiulizana au by body language wanatambuana. Swali la mkuu Igwe limebase kwa mashushushu "spies" watu ambao hutumwa mahali au nchi ya kigeni kwaajili ya kukusanya habari muhimu kwa nchi yake wanatambuana?
Kama hii ndio maana ake basi kutambuana ni ngumu sana mpaka mmoja atakapoamua kujireveal kwa mwenzake. Hii inatokana na usiri wa kazi yenyewe na consequences zake incase ukijulikana kukusanya habari kwa manufaa ya nchi nyingine. Mara nyingi adhabu yake ni kifo au ukionekana unaweza ukatoa mchango nkubwa kwa waliokukamata wanaweza wakakugeuza kuwa double agent, yaani nao wakawa wanakutumia katika kuwapa habari za nchi yako kwa malipo maalumu.
 
kutambuana sio lengo mojawapo la hao unaowahita mashushushu,
unless labda wako katika operation moja kwa wakati huo,


actually shushushu sio mtu special saana kama mnavyodhania,sema tu wako trained kwa kazi wanayoifanya,
sawa na injinia alivyo trained kwa kazi yake
Ndo uspecial huo boss
 
The only way Mashushushu wanaweza kutambuana ni pale wanapoingia wote kwenye operesheni katika eneo moja au wanapowindana. Shushushu akiwa kwenye operesheni lazima akifika sehemu asome mazingira. KAtika kusoma mazingira anaweza kuona kwamba kuna mtu ana characteristic fulani ambazo zipo out of place katika watu waliopo pale anaweza akawa yupo too careful au amejiposition mkao fulani wa kuzuga..
Adui pia anaweza kuwa na tabia hizi anapokuwa katika mazingira fulani
 
Nahisi inategemea na kitengo gani..mfn wale wa suti wengi hawafungi vifungo huwa (nasikia) anaweza kushika upande mmoja wa koti au kuweka tai sawa kumbe hapo ndio washaongea tayari na kutambuana..(sijui kweli)
Humuamini aliyekwambia?
 
Back
Top Bottom