Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
sura za kikauzu.....[emoji19]
Sura za kikauzu ni bongo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sura za kikauzu.....[emoji19]
[emoji87] [emoji87] [emoji87]Wee nani alikuambia!!
Mkuu wee jeshi gani lilikufundisha au lile la chagadema!!Hao jamaa hawapendani kama paka na panya!! Hata sisi jeshini tulifundishwa kuwachukia sana hao watu
Braza bhana!!poti... roja Roja... ovaah
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wanapenda kujifanya magentlemen au charming hasa pale wanapotaka kukutumia, wanakuwa na ratiba ambazo wewe huzielewi, wanaongea shortcut sana, ukimuuliza swali anajibu short cut bila maelezo ya kujitosheleza, pia wana sifa ya kutembea na magazeti wakijifanya kusoma kwenye vituo vya usafiri au vya kupumzikia, wanapenda kujikausha sana kama hawajali au hawafahamiani na mtu yeyote yule.
[emoji3] [emoji3][emoji87] [emoji87] [emoji87]
kwa nchi yetu,watakutafuta wenyewe,unaweza ukawa shule wakakustudy na kuona unafaa,ukawa informer,baadae ukapata training na kuendelea,Halafu ni wapi wanasomea hii kitu jamani? Navutiwa na kuwa shushushu
They are damn sick.Mkuu watu kama hao achana nao tu maana akili yao ni mbovu. kwao wao lolote analofanya mzungu au rai wa kigeni ni zuri hata kama ni hovyo. hawajui kwamba mbinu na nyenzo za kazi hiyo ni sawa tu duiniani kote, tofauti ni vipaumbele, rasilimali (teknolojia na fedha), na mazingira.......
Nahisi huyu ni shushushu upande WA familiaPia hapo vipi
Naona walikua code errorMkuu mbona Mkoani mara huko Wanajeshi na Polisi walichapana Risasi inamaana codes hawakutambuana ama??
Aiseeshushu mzuri ni yule anaeweza kujiblend katika watu na asiweze kutambulika iwe na mtu wa kawaida ama na shushu mwenzake.
Shushu anamtambua shushu mwenzake kama atakosea akajiexpose,
mfano kama shushu mmoja anahofia kuwa anafuatwa na mashushu wengine,atakachofanya ni kurun Surveillance Detection Run(SDR),
yaani anaweza kuwa anatembea,ghafla akageuka na kurudi alikotoka,kisha ghafla akadandia bodaboda akifika mtaa unaofuata atandandia daladala,kisha likisimama kituoni,atashuska dakika za mwisho,
ataingia kwa mfano bar na kukaa sehemu anayoweza kuona kila anaeingia,
sasa kama wewe ni shushu njaa,atakung'amua mapema tu kwamba i have grown a tail,yaani kuna mtu anamfuata,
ndo maana wenzetu sikuhizi wanatumia drone kufuatilia mtu,maana shushu makini huwezi kumfuata atakugundua tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]poti... roja Roja... ovaah
EndeleaKikohozi,viatu, kofia,kushika pua,nywele etc
Humu ndani mbona ni darasa tosha Mkuu.Halafu ni wapi wanasomea hii kitu jamani? Navutiwa na kuwa shushushu