Napenda kujua kwa namna gani mashushushu duniani wanaweza kutambuana

Mie nikiona kavaa kaunda suti kaweka na pen kwenye shati kisha kanyoa ndevu zote na nywele kapiga unga nakimbia fasta hapo maana utakuwa unadukuliwa .
teh teh teh hizo walaa. Angalia akikaa baa cheki exit zilipo na angalia amekaa wapi na je ana access na exit zote?😀
 
Nazikumbuka njia mbili ambazo hao jamaa wa Kaunda suti huweza kutambuana.Ya kwanza ni Kwa kuangalia mavazi,Kwa maana kwamba jamaa wamejiwekea kautaratibu spesho ka kuvaa mavazi Fulani hivi Kwa mfano wanastyle zao za kuvaa suti na pia jamaa wanapendelea Kaunda suti na hawajaachaga.

Njia ya pili ambayo jamaa wanatambuana ni Kwa kuangalia sura,yaani wanaita wenyewe ''facial expression''.Kwa kuangalia sura tu,hawa jamaa wanajuana.Unaweza usiamini,ila ndo hivyo.
 
Je wanchukua mtu yeyote bilan kuzingatia umri?
 
hata humu wamo wanawaangalia tu mnavyohangaika kuwajua.
hivi yule mkurugenzi wa NIDA aliteuliwa kuwa nani vile???

be carefully......

Aliteuliwa na Ban ki Moon kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nangwanda sijaona
 
Wanasomea wapi mkuu?
 


Daah sasa mfano wale waliokamatwa kule Malawi wangekua ni spies kweli tuseme ndio wangegeuzwa kuwa Double Agents daah hatare sene kumbe
 
Daah sasa mfano wale waliokamatwa kule Malawi wangekua ni spies kweli tuseme ndio wangegeuzwa kuwa Double Agents daah hatare sene kumbe
Hao tusiwaongelee. Let's talk about the issues that have already been declassified.
 
Mafunzo yao kwa ujumla yanafanana ingawa kuna tofauti ndogo ndogo. Ndio maana dunia nzima wanajuana kwa special code ambazo mtu wa kawaida hupaswi kuzijua na hii ni kwa usalama wako wewe raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…