Kuweni makini maana Sky Eclat ni mtu wa Bonde
Erasto Mang’enya ni wa enzi za wakina Martin Kiama, Mdoe anaweza kuwa mtoto wao.[emoji12] ....kuhama nyumba ya serikali mpaka ulete polisi, miongoni mwa wasomi wa mwanzo wa kibondei ni Steven Muhando, Erasto Mang'enya na Fred Jimm Mdoe !
Kumbe hujafika New York! Na kuna machungwa yaitwa Washington.Wanaipenda Dar mpaka huko bonde kuna kijiji kinaitwa 'Daisalama'
Tena akukamue vizuri tu si umemfanya kipozeo.Ninae mmoja mchepuko wang yan ni headache. Bora hata ningebak njia kuu. Mchepuko wa kibondei
Wanaomba sana hela yan vizinga jata vinne ndan ya siku moja. Halaf mbaya zaid hela anazotaka ni akasherehekee na mashosti zake.
Tena akukamue vizuri tu si umemfanya kipozeo.
Umevuna ulichopanda, mkijijua kuwa hamna hela ya kuhonga bakini kwa wake zenu.Ndio niko namlia timing hapa nimfyekelee mbali. Ameshaanza kugundua tabia yake siipendi
[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21] narud njia kuu keshoUmevuna ulichopanda, mkijijua kuwa hamna hela ya kuhonga bakini kwa wake zenu.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hapo kwenye kuongea loooh!... Yaan mpaka namwambiaga naomba uniache kichwa changu kipate mawazo mapya!...mtoto anaongea yule kama kameza betri
Umesahau ukoo wa Mzee Tawi Vesso,Mzee Zumo.Hawa wadigo wamwanzo kabisa kupokea injili...Wadigo kwao ni ukoo mmoja tu ndo ulikubali kubadilisha dini kwa ajili ya Shule. Ukoo wa mzee Pera, ndiko walikotokea akina Pro. Jengo (Udsm) akina Eng. William Boko (aliwahi kuwa kiongozi wa Yanga). Watoto wao wote wanawaita majina ya kidigo ya ndani ndani kabisa ku save identinty. Kanisa lao lipo pale Kana, karibu na Tangamano Hall. Wadigo hawakuwapenda Wabondei kwa ajili ya kuchezea dini (kubadilisha badilisha) pia ndio walikuwa wauza Bar (barmaid) wa kwanza kabisa 'wenyeji' kuingia katika fani hiyo. Hivyo Wadigo wapo 'sensitive' sana na dini.
Ndio huo huo ukoo mmoja, uliongezeka baada ya kujukuu na kutukuuUmesahau ukoo wa Mzee Tawi Vesso,Mzee Zumo.Hawa wadigo wamwanzo kabisa kupokea injili
Sky Eclat asikudanganye huyo, kwa mdogo wako amedata tu! Kilichompeleka kimeisha? Njia kuu zina karaha sana maana kila siku kuomba inachosha. Muulize kwa mdogo wako kila siku kumtafuta aje ajilie kiroho safiiiii[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21] narud njia kuu kesho
Oooo safi sana,nikweli mana wote walikuwa karibu sana hawa wazee.Ndio huo huo ukoo mmoja, uliongezeka baada ya kujukuu na kutukuu
Sisi wanaume sijui huwa tunakosea wapi, badala ya kutafuta solution unalalamika, hilo tatizo la kukupiga mizinga unaweza kulitatua, kwann usimweke chini huyo mchepuko na kumpa ushauri, au mfungulie biashara atakayo isimamia ya kumwingizia kipato achane kukupiga mizinga...Ninae mmoja mchepuko wang yan ni headache. Bora hata ningebak njia kuu. Mchepuko wa kibondei
Wanaomba sana hela yan vizinga jata vinne ndan ya siku moja. Halaf mbaya zaid hela anazotaka ni akasherehekee na mashosti zake.
fine dear, mzimaGood morning
Wame survive kwa kuoana wenyewe kwa wenyewe ndio maana bado wachache sana.Oooo safi sana,nikweli mana wote walikuwa karibu sana hawa wazee.
Haha kweli Dada ndio maana ingawaje ni wa kwanza kwenda shule na kufanya kazi serekalini lakini wengi wa wastaafu hali zao sio nzuri. Refer spika Mang'enyaNi moja ya makabila ya kwanza kupata elimu. Baada ya uhuru wengi walikuwa serikalini. Ni waaminifu mno wakistaafu hata kalamu aliyotumia ataiacha mezani.
Walikuwa na uaminifu mkubwa mno, nidhamu ya elimu ya mkoloni.Haha kweli Dada ndio maana ingawaje ni wa kwanza kwenda shule na kufanya kazi serekalini lakini wengi wa wastaafu hali zao sio nzuri. Refer spika Mang'enya
Sisi wanaume sijui huwa tunakosea wapi, badala ya kutafuta solution unalalamika, hilo tatizo la kukupiga mizinga unaweza kulitatua, kwann usimweke chini huyo mchepuko na kumpa ushauri, au mfungulie biashara atakayo isimamia ya kumwingizia kipato achane kukupiga mizinga...
[emoji15][emoji15][emoji15]Wabondei ni watanzania wanaopatikana mkoani Songea wilayani Kagera.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wabondei ni watanzania wanaopatikana mkoani Songea wilayani Kagera.