Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Kama ni hivyo isipungue meta nane kati ya mti na mti. Ili ufanye kilimo chenye tija jitahidi uwe na walau minazi 300 hapo utaona faida yake...niliuliza kwasababu nataka kuibananisha eneo langu ni dogo.
Tanzanianiliwahi kuwapigia au jamaa wa Mikocheni hata simu hawakupokea yaani Tanzania ni bure kabisa.
Halafu ukiwaona wamevaa masuti yao unaweza kufikiria ni watu wa maana kumbe bure kabisa.Tanzania
wapuuzi tu kwa kweli yani labda ufike kwa mguh, na yenyewe unaweza ambiwa mhusika yupo likizoHalafu ukiwaona wamevaa masuti yao unaweza kufikiria ni watu wa maana kumbe bure kabisa.
Haya majibu mbona mnafanya kilimo kwa hovyo hivi?TAARIFA MUHIMU [emoji91][emoji91]Miche ipo tayari weka oder yako mapema hii, miche hii hichukua miaka mitatu tu kubeba matunda na inasambazwa nchi nzima.
.
Ekari moja huingia miche 100-120
.
Inabumilia ukame na kukupa matokeo bora zaidi (hufanya vizuri katika hali nyingi za hewa nchini)
.
Wahi sasa [emoji3048][emoji3048][emoji3048]
.
Muongozo wa upandaji unatolewa bure kabisa. +255 759 499 196 whatsapp
.
Bei ya mche 15000/=
Wacheki hao watakusaidia kwenye kilimo cha minazi