Napenda kumtongoza Mwanamke anapokuwa na wenzake

Napenda kumtongoza Mwanamke anapokuwa na wenzake

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1639510917572.png

Ku approach ni kumfata mwanamke kwa lengo la la kuanzisha mahusiano ya mapenzi au urafiki.

Iwe ni enzi hizo shuleni, chuoni, sokoni, barabarani, n.k. huwa napenda kujitosa kwa mwanamke ambae yupo na rafiki zake / yake.

huwa nawasalimu kwa heshima wote kwa pamoja, kisha naweka wazi nimemfata fulani, nawaomba wanipe ruhusa niweze kuongea machache pembeni na mwenzao lengo likiwa ni kujitambulisha kidogo, story fupi na kupeana mawasiliano ama kama hayupo interested mambo yaishie hapo mapema.

Faida zake ni kwamba nakuwa nimewajua watu wake wa karibu, hii huwa nanisaidia sana kiukweli, hasa kwenue tahadhari

Hasara zake kuna muda marafiki zake wanaweza kukuchezea michezo uingie kingi endapo wamegombana na mwenzao au wanamuonea wivu, hasara nyingine mkiachana unajikuta unaingia tamaa ya kulipiza kisasi kwa kujaribu kutoka na rafiki zake (huu ujinga niliwahi kuufanya nikiwa chuoni,
 
Huko ni kutojiamini 100% Ni sawa na kutupa nyavu kwenye bahari, then ukitegemea kabisa lazima tu upate kitoweo, vyovyote vile. Kama mwanaume unajiamini, why uparade mambo sensitive na faragha!??? It is said that a real lion focuses on one prey.
 
Mm naona suluhu ya haya yote n KATIBA MPYA itapunguza Sana sisi wanaume kujieleza Sana mbele za wanawake

Iwekwe ibara kabisa kuwa mwanaume asisumbuliwe wakat wa kutongoza
Sawa sawa

[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom