abdulatif himid
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 326
- 814
Hahahahahahah,mchokonozi sana WEWE'Yule ambae hana mbavu begani analipwa milioni ngapi? Yaani yule shati tupu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahah,mchokonozi sana WEWE'Yule ambae hana mbavu begani analipwa milioni ngapi? Yaani yule shati tupu kabisa
😅😅😅Afande Kwan kakushtua sana nusu udondokee..Tema mate chini
Sawa afande ,kazi njemaa🙏Shida tupu alafu niko oves please niache kwasasa
Mh baby Mimi ni masikini wa masaa tu ,nikishapata ulanzi wangu huku ndani ya kilabu Cha ulanzi aliyepaki usafiri ni Mimi tu na Corolla yangu ,huwezi kuniita masikini Ila hapa jamvini masikini ni wengi ni vile tunaheshimu faragha hatuwezi Leta meseji zao za PM wakiwa wanatuita majina makubwa ,Mara mkuu wa wakuu nisaidie hata elfu tano familia iishi leo 😭😭 na hao ni watu wanaoheshimika sana hapa kwa kudhani ni maboss .Sweetheart...s tulikubaliana kuwa JF hamna Masikini wote n matajiri...
Dada twende tukamtembelee lissu utenguleLaki 4 take home
Nasikia hajulikani alipo tenaDada twende tukamtembelee lissu utengule
Usiwaamini watanzania hasa wenye TV za mchongo yutubeNasikia hajulikani alipo tena
Utanishtua basUsiwaamini watanzania hasa wenye TV za mchongo yutube
Aya baby... nasubiri maokoto mie..Mh baby Mimi ni masikini wa masaa tu ,nikishapata ulanzi wangu huku ndani ya kilabu Cha ulanzi aliyepaki usafiri ni Mimi tu na Corolla yangu ,huwezi kuniita masikini Ila hapa jamvini masikini ni wengi ni vile tunaheshimu faragha hatuwezi Leta meseji zao za PM wakiwa wanatuita majina makubwa ,Mara mkuu wa wakuu nisaidie hata elfu tano familia iishi leo 😭😭 na hao ni watu wanaoheshimika sana hapa kwa kudhani ni maboss .
Basi baby ngoja tu kesho niuze viazi tukafurahie maisha tu
Sawa Ila nilikutambulisha kuwa nimepata binti mmoja wa hapa jamvini kafa kaoza kwangu ?Utanishtua bas
Tarehe 15 300kLaki 3 unusu. Tarehe 15 wanapokea 100,000.
🤣🤣🤣 Jamani,mbona havihusiani kabisaSawa Ila nilikutambulisha kuwa nimepata binti mmoja wa hapa jamvini kafa kaoza kwangu ?