Napenda kuuliza kwa unyenyekevu, Polisi analipwa sh ngapi kwa mwezi?

Napenda kuuliza kwa unyenyekevu, Polisi analipwa sh ngapi kwa mwezi?

Sweetheart...s tulikubaliana kuwa JF hamna Masikini wote n matajiri...
Mh baby Mimi ni masikini wa masaa tu ,nikishapata ulanzi wangu huku ndani ya kilabu Cha ulanzi aliyepaki usafiri ni Mimi tu na Corolla yangu ,huwezi kuniita masikini Ila hapa jamvini masikini ni wengi ni vile tunaheshimu faragha hatuwezi Leta meseji zao za PM wakiwa wanatuita majina makubwa ,Mara mkuu wa wakuu nisaidie hata elfu tano familia iishi leo 😭😭 na hao ni watu wanaoheshimika sana hapa kwa kudhani ni maboss .

Basi baby ngoja tu kesho niuze viazi tukafurahie maisha tu
 
Wakiwa kwenye mafunzo wanafundishwa kutii amri za viongozi wao na ni moja ya kiapo chao.

Viongozi wao/ watoa amri nao wamefundishwa kutii amri ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yoote.
Mihimili katika nchi Iko Mitatu, Rais, Bunge na Mahakama, wao wanaripoti kwenye mhimili mmoja hapo ambao ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yoote.

Kulingana na katiba yetu, Rais/amiri jeshi mkuu akiwa na matatizo maana yake amri zake ndio zitakazoleta shida kooote huko mpaka chini.
 
Mh baby Mimi ni masikini wa masaa tu ,nikishapata ulanzi wangu huku ndani ya kilabu Cha ulanzi aliyepaki usafiri ni Mimi tu na Corolla yangu ,huwezi kuniita masikini Ila hapa jamvini masikini ni wengi ni vile tunaheshimu faragha hatuwezi Leta meseji zao za PM wakiwa wanatuita majina makubwa ,Mara mkuu wa wakuu nisaidie hata elfu tano familia iishi leo 😭😭 na hao ni watu wanaoheshimika sana hapa kwa kudhani ni maboss .

Basi baby ngoja tu kesho niuze viazi tukafurahie maisha tu
Aya baby... nasubiri maokoto mie..
 
Muhimu kuwa na kadi ya CCM mengine hawajali hata.
images - 2024-08-11T134252.727.jpeg
 
Back
Top Bottom