MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Hapana wewe ni dada yangu wa faida lazima nikutambulishe ili ukimuona Kona zozote humu jamvini jua chombo yangu hiyo🤣🤣🤣 Jamani,mbona havihusiani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana wewe ni dada yangu wa faida lazima nikutambulishe ili ukimuona Kona zozote humu jamvini jua chombo yangu hiyo🤣🤣🤣 Jamani,mbona havihusiani kabisa
Laki 9 mpaka million 2, karibu tuwashe kingine ni skanka sio bwegeNaomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Vyombo vya ulinzi na usalama vikiamua kukataa CCM ndani ya sekunde Chache CCM kwisha 🤣Unajua CCM hawajui siasa ndomana unaona wanatumia nguvu kubwa Sana kuwazibiti wapinzani.,,Siku Vyombo vya usalama vikiacha kuisaidia CCM basi ndio mwisho wao
Wasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Ok,niambie ni Nani huyoHapana wewe ni dada yangu wa faida lazima nikutambulishe ili ukimuona Kona zozote humu jamvini jua chombo yangu hiyo
Wala hawalipwi hela nyingi. Sema wamekuwa brainwashed kwamba wao nisehemu ya dolaWasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Kama hzi form four mishahara haifiki 500k walahiWala hawalipwi hela nyingi. Sema wamekuwa brainwashed kwamba wao nisehemu ya dola
FactPolisi wanaonekana wana mishahara midogo sana! Na hii ni kutokana na maisha wanayoishi huku mtaani. Nadhani rushwa ndiyo inawaboost.
Laki 9 mpaka million 2 hapo bado hawajacheza Dili chafuWala hawalipwi hela nyingi. Sema wamekuwa brainwashed kwamba wao nisehemu ya dola
Ni wifematerial Mwinya255Ok,niambie ni Nani huyo
Wanajitolea tu, malipo ni kiduchu sana.Wasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
msiharibu UziHuwa nasikia mwenye shahada milioni mbili na akistaafu analipwa milioni miasita(600000000)hapo nje ya marupurupu.Ndiyo maana wanajituma kuwakamata wapin zani.
🤣🤣🤣🤣🤣Faida hawa jamaa kubwa waliyonayo nikwamba hawaitaji fedha kwa ajili ya kukununua nguo maana muda mwingi wanavaa uniform kama wanafunzi wa chekechea
450kYule ambae hana mbavu begani analipwa milioni ngapi? Yaani yule shati tupu kabisa
Alishakutalia waziri simbachawene kwamba huwezi ajili polisi mwenye stashahada Wala digrii ashinde usku analinda bankViwango vimepishana kutokana na ELIMU.