kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Nimekupa figure kamili,hayo mengine unayajua wewe afsaNi uongo kwamba huyo ameingia kazin lini? Pesa ya elimu unajua ni ngapi? Pesa ya mafuta ya gari? Pesa ipo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupa figure kamili,hayo mengine unayajua wewe afsaNi uongo kwamba huyo ameingia kazin lini? Pesa ya elimu unajua ni ngapi? Pesa ya mafuta ya gari? Pesa ipo sana
Sio wote labda kama hukujipanga nachojua polisi nowdays wapo vzr tofauti na kipindi cha nyuma make researchNdio maana wakistaafu wanahaha
Ukumbuke pia Polisi sio waajiriwa, unakuja kuajiriwa ukishafika rank flani, ndio maana hata RPC ana uwezo wa kukufuta kazi (polisi wanafutwa kazi hawakufuzwi), hapo itakupa mwanga wa bei gani wanalipwaWasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Mshahara wake sio huo sasa na usiseme kwamba wanalipwa vibaya kima cha chini cha mshahara wa serikali unakijua?Nimekupa figure kamili,hayo mengine unayajua wewe afsa
Acha dharau kijanaKwanza mtu unaanzaje kuwa polisi?
Sio polisi pekeee ata jwtz kama huna cheo unakuwa na mkataba ukifika mda flan unajaza mkataba kuajiriwa anaajirwa afsa mwenye nyota moja up kwendeleea ambaye kumfukuza kazi ni ngumu zaidi atashushwa vyeo tuUkumbuke pia Polisi sio waajiriwa, unakuja kuajiriwa ukishafika rank flani, ndio maana hata RPC ana uwezo wa kukufuta kazi (polisi wanafutwa kazi hawakufuzwi), hapo itakupa mwanga wa bei gani wanalipwa
Kwa sababu Polisi wa zamani walikuwa wazalendo ukilinganisha na hawa wa sasa.Sio wote labda kama hukujipanga nachojua polisi nowdays wapo vzr tofauti na kipindi cha nyuma make research
Elewa kwaza kinachozungumziwa swala sio uzalendoKwa sababu Polisi wa zamani walikuwa wazalendo ukilinganisha na hawa wa sasa.
Mada haihusu kiapo, inahusu mshahara wanaolipwa kiasi kuwa na hamasa kubwa hivyo ktk kuilinda ccm.Kiapo cha askari Polisi ni utii kwa Mamlaka iliyopo na itakayokuwepo. Pia kutii amri zitolewazo mara kwa mara. Hayo ya mshahara hayahusiani na kiapo.
Laki sita netYule ambae hana mbavu begani analipwa milioni ngapi? Yaani yule shati tupu kabisa
Uongo mnajazanga ujingaPolisi bila kuchukua rushwa,kucheza faulo
Huwezi ishi
Ova
Huwezi kuwa IGP bila kuwa na digrii hata moja,kila mwenye vyeo vya juu(vinavyovaliwa juu ya bega) lazima awe na elimu kuanzia digrii moja aidha wapo Police wanavyeo vya kawaida(koplo,sajenti..) wana digrii zao.Hivi IGP inabidi elimu iwepo au uzoefu tu
hujanielewa hapo nimeongea kwa code/shortcutElewa kwaza kinachozungumziwa swala sio uzalendo
Okyhujanielewa hapo nimeongea kwa code/shortcut
wenzio kupitia hii polisi unayoidharau wapo huko katika nchi za watu wanafanya kazi chini ya mwamvuli wa UN.Sasa wewe endelea kuwa na akili yako ndogo ya kuendea chooni tu.Kwanza mtu unaanzaje kuwa polisi?
Wanajazanaga ujingawenzio kupitia hii polisi unayoidharau wapo huko katika nchi za watu wanafanya kazi chini ya mwamvuli UN.Sasa wewe endelea kuwa na akili yako ndogo ya kuendea chooni tu.
Kama ni ivyo tusingekua tunakula nao wali maharage wa 1500/-kwa mama Kdija kila sikuKuna Reshen katikati ya mwezi. Sasa mshahara utakuwaje mdogo.