kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Wewe malupulupu ,mngekuwa mnakauka midomo hivyo kwacheo kipi malupulupu hayoMalupulupu zaidi ya milion 12 kwa mwezi🎓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe malupulupu ,mngekuwa mnakauka midomo hivyo kwacheo kipi malupulupu hayoMalupulupu zaidi ya milion 12 kwa mwezi🎓
Milioni 159 kwa mwezi kwa afande anayeanza kaziWasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Hapo sawa ndo maana wanamioyo migumu sana wamevaa miwani za mbao hawaoni hata ukweliHuwa nasikia mwenye shahada milioni mbili na akistaafu analipwa milioni miasita(600000000)hapo nje ya marupurupu.Ndiyo maana wanajituma kuwakamata wapin zani.
Kwa hiyo hata km amri sio ya haki wanatekeleza TU kwa sababu ya kiapo?Kiapo cha askari Polisi ni utii kwa Mamlaka iliyopo na itakayokuwepo. Pia kutii amri zitolewazo mara kwa mara. Hayo ya mshahara hayahusiani na kiapo.
Itakuwa alikuwa na mkopo baada ya makato ndio kias anachobakiwa nachoNiliwahi kushuhudia ya mmoja wao ilikuwa ina take home ya 357,000!! 😩
Wale wa juu sana ndio wanalipwa vizuri......hawa ndio watoa order.Wasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Mtengenezee mazingira mazuri apate kazi unayotaka wewe afanyeUsiruhusu mtoto wako akawa Askari Polisi ni kazi ya LAANA
Nafikiri hata wenyewe hawajui,tafuta mmoja wa barabarani muulize kama analo jibu.Wasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
UongooLaki 3 unusu. Tarehe 15 wanapokea 100,000.
Mbna uja add na hela ya elimu, homemaintaness, women allowence, marriage
- Wengi wa kazi za Mrakibu wa polisi na makachero hupata mshahara kati ya TSh 401,555 na TSh 3,789,627 kwa kila mwezi mwaka 2024.
- Mshahara wa kila mwezi wa ngazi ya kuanza kazi za Mrakibu wa polisi na makachero ni kati ya TSh 401,555 hadi TSh 1,029,003.
- Baada ya kupata uzoefu wa kazi wa miaka 5, mapato yao yatakuwa kati ya TSh 605,945 na TSh 1,759,453 kwa mwezi.
Pesa zao haziko kwenye mishahara bali michongo.Kama tu RPC mwenye cheo cha SACP mshahara ni 2.1m gross,hao wengine wana hali gani?
Ni uongo kwamba huyo ameingia kazin lini? Pesa ya elimu unajua ni ngapi? Pesa ya mafuta ya gari? Pesa ipo sanaKama tu RPC mwenye cheo cha SACP mshahara ni 2.1m gross,hao wengine wana hali gani?
Huo mshahara tu bado allawance ... Allowance huwezi ziona kwenye salary slip.Kama tu RPC mwenye cheo cha SACP mshahara ni 2.1m gross,hao wengine wana hali gani?
Eti shati tupuYule ambae hana mbavu begani analipwa milioni ngapi? Yaani yule shati tupu kabisa
Ndio maana wakistaafu wanahahaPesa zao haziko kwenye mishahara bali michongo.
Hivi IGP inabidi elimu iwepo au uzoefu tuViwango vimepishana kutokana na ELIMU.